Namba ya Airtel

Namba ya Airtel

malogi1976

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2016
Posts
297
Reaction score
168
Naombeni msaada wapendwa nimenunuwa Umeme kwa hao Airtel sijapata jibu toka mchana na Pesa imeenda napiga number 100 machine to kwa kwenda mbele sitaki sikia hawa Airtel wanaudhiiii
 
Airtel wazinguaji tu mm nilinunua umeme tokea jmamos usku mpaka leo sijapata token zangu aitel wazinguaji
 
Itakua wameambiana nini....
Mi nmenunua voda naona kimya tu, na simu yao haiiti.
 
To call us, just dial 100 from your Airtel phone for free or dial +255 78 4105 400 +255 78 4104 800 from any phone (this is a paid call).
 
Naombeni msaada wapendwa nimenunuwa Umeme kwa hao Airtel sijapata jibu toka mchana na Pesa imeenda napiga number 100 machine to kwa kwenda mbele sitaki sikia hawa Airtel wanaudhiiii
Ingia kwenye Page yao ya Facebook,Airtel Tanzania.Wape namba ya mita,Namba ya simu uliyotumia kununua,Kiasi Na muda ulionunua.Watakutumia token
 
Naombeni msaada wapendwa nimenunuwa Umeme kwa hao Airtel sijapata jibu toka mchana na Pesa imeenda napiga number 100 machine to kwa kwenda mbele sitaki sikia hawa Airtel wanaudhiiii
Mimi Huwa nawatext Facebook wanajibu mapema tu
Airtel wazinguaji tu mm nilinunua umeme tokea jmamos usku mpaka leo sijapata token zangu aitel wazinguaji
Jaribu kuingia Airtel Tanzania Facebook uwatext watakujibu
Itakua wameambiana nini....
Mi nmenunua voda naona kimya tu, na simu yao haiiti.
Voda sina experience nao,ila Airtel mzigo ukibuma Huwa naingia Facebook page yao Huwa wanajibu Na wanakutumia token,ila Tigo ndiyo Huwa wanajibu haraka zaidi kuliko Airtel,tigo ndani ya dakika kumi mambo yanakuwa hadharani
 
Back
Top Bottom