Namba ngeni imenitumia hela

Namba ngeni imenitumia hela

Fasouls kweli ulikosea maana naona bado unauchapa usingizi.

Kumbe wewe ndio umetunga ilani ya uchaguzi ya chama ? endelea kuuchapa
 
hatupo kwenye mtihan wa kiswahil besides nenda kamfundishe demu wako.

Unaona sasa athari za elimu ya kuunga unga! Watu wanaandika kwa usahihi wawapo kwenye mtihani tu? Elimu ya Tanzania imeporomoka kwa sababu wanafunzi wengi wanafikiri wanaenda shule kusoma ili wafaulu mtihani! Bwana mdogo, tunasoma ili kuongeza maarifa ya kupambana na mazingira yetu, kwa mfano, kujua kuandika kwa usahihi. Elimika!
 
Kiongozi nimekuPM namba zangu za voda nirudishie hizo hela, nilikosea kutuma juzi mchana,
asante
 
Yaan mi hawakoseagi kutuma looo ni nyie tu khaa😊😊
 
Wandugu juzi mchana kuna namba imetuma pesa kwenye airtemoney yangu, imeanza kutumwa shs.1,00000, kisha kma baada ya dk 1 ikatumwa shs.50,000.

Mtumiaji simfahamu ni namba ngeni kwangu, nikajua moja kwa moja amekosea namba.

Mikatulia ningoje anipgie aanzee kujielezea jinsi alivyokosea na kutaka nimrudishie hizo pesa.

Wandugu ilikua mida ya saa tisa mchana mpka sasa hiyo namba aijanitafuta kwa vyovyote mpka sasa!

Na pesa zote bado ninazo kwenye airtel money, sasa sielewi imekuaje hi?

Nimejaribu kuiifatilia namba iliotuma pesa nimegundua sina uhusiano nayo kwa vyovyote sielew maana yake wakuu.

Mkuu hyo hela niliituma mie kwa kukosea,, ilikua saa saba/nane hiv mchana na nisharipoti suala hili kwa customer care was airtel zaidi ya mara tano wananiahidi kulishughulikia suala hilo bila mafanikio, nahisi kuna mtu anamasirahi na wewe mkuu huko airtel,, naendelea kuwataarifu tena nw nione ukenge wao tena
 
Mkuu hyo hela niliituma mie kwa kukosea,, ilikua saa saba/nane hiv mchana na nisharipoti suala hili kwa customer care was airtel zaidi ya mara tano wananiahidi kulishughulikia suala hilo bila mafanikio, nahisi kuna mtu anamasirahi na wewe mkuu huko airtel,, naendelea kuwataarifu tena nw nione ukenge wao tena
Mbna Nikikupgia aupatikani???!!!
 
Wandugu juzi mchana kuna namba imetuma pesa kwenye airtemoney yangu, imeanza kutumwa shs.1,00000, kisha kma baada ya dk 1 ikatumwa shs.50,000.

Mtumiaji simfahamu ni namba ngeni kwangu, nikajua moja kwa moja amekosea namba.

Mikatulia ningoje anipgie aanzee kujielezea jinsi alivyokosea na kutaka nimrudishie hizo pesa.

Wandugu ilikua mida ya saa tisa mchana mpka sasa hiyo namba aijanitafuta kwa vyovyote mpka sasa!

Na pesa zote bado ninazo kwenye airtel money, sasa sielewi imekuaje hi?

Nimejaribu kuiifatilia namba iliotuma pesa nimegundua sina uhusiano nayo kwa vyovyote sielew maana yake wakuu.

Yakrima hiyo ndugu kutoka lumumba 😂😂😂😂
 
rudisha bana ustaarabu kitu cha bure onywsha namna gani ulilelewa na wazazi wako vyema
 
Back
Top Bottom