ErickjrJunior
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 328
- 78
- Thread starter
- #41
akikustua unijulishe
Nipe mimi bana achana na huyo best wako
Nilimtext, akujibu!! nikapga badaee akupokea kurudia kupiga, apatikani mpka leo!!
Mtoto wa kike jiepushe na hela za wanaume. Akishakupa lazima kuna kitu na wewe utampa, kikikatikia ndani mwako kipande chake kidogo tu, mzigo utaubeba na kuulea wewe, hutomwona tena.
epuka hela za nje nje za wanaume kama ccm. ukishawapa leo hutowaona tena, utabaki na kofia na tisheti ya ukumbusho
Akikujulisha nitonye
Usije kuilia chips kuku tu km mwanaasha hamisi
Nimepanga kumsikilizia, chipsi kuku nakulaga kwa ela yangu.Mkuu inaonekana kwako sadaka ni msamiati....unadhan wanaume wote wapo hivyo?? hivi ww mara ya mwisho kutoa sadaka lini??Mtoto wa kike jiepushe na hela za wanaume. Akishakupa lazima kuna kitu na wewe utampa, kikikatikia ndani mwako kipande chake kidogo tu, mzigo utaubeba na kuulea wewe, hutomwona tena.
epuka hela za nje nje za wanaume kama ccm. ukishawapa leo hutowaona tena, utabaki na kofia na tisheti ya ukumbusho
sio tigo ni airtelmoneyoya ni mimi nilikosea namba,sorry ni pm nikupe namba ya tgo unirushi mkuu
aitatokea kamwe.Angalia tu isije ikawa imetoka mombasa manake hawakawii kukunaniliu....
ukiamka asubuhi jikague vizuriyaah akupokea nikarudia akupatikana.
Sawa sawaDuh,mkuu embu itume kwangu wakati unaendelea kusubiri.
Gharama inakuja na iko njiani unaalikwa moja kwa moja na fisadi Lowasa kwenye maandamano ya kufanya fujo na kufanya nchi isitawalike, hivyo kama kweli unajipenda usiitumie na iweke Benki mpaka
muda mwenyewe atakuja na usipokubaliana naye basi umrudishie tu!
Yaah Akupokea nikarudia akupatikana.