Namba Mask linavyomtesa Soudy Brown

Namba Mask linavyomtesa Soudy Brown

mchumihalisi

Member
Joined
Oct 8, 2015
Posts
28
Reaction score
98
Lugha za kigeni wenyewe mnaita 'Branding' lakini kumbe hizi Brand pia zina gharama zake kuzi-mantain kama ambavyo huyu kijana wa 'Shilawadu' Soudy Brown anavyohakikisha brand yake haiteteleki.

Nipo kwenye harusi ya Mmoja kati ya staff wa Clouds (Dj Zero) ulipofika muda wa msosi nikawa najiuliza jamaa atakulaje..! Huwezi amini mpaka Wapishi wanaanua msosi kupakia kwny gari hajala, na hapa kafika toka saa 2 usiku.
 
alikuwa kashiba tuu!! hakunaga mask ngumu mbele ya njaa!!
 
Back
Top Bottom