bishost umeua,na wenyewe walivyo mazo..ba hawagundui hata!!
wanadhania na mie ni 16 we kumbe niko mid something huko
halafu hapo chini umejib vizuri umeona nimegonga na like....................
Record broken,bibi wa miaka 79 anachati JF.
Wekeni kwenye kumbukumbu hiyo.
Kwani wewe bibi yangu hukuwahi kuwadanganya babu zangu kuwa uko 16?
Mkuu me nadhani sababu ndo Sweet Sixteen...hiviNamba 16 imeitwa jina la kuwa ni NAMBA YA WASICHANA kutokana na wengi wao kudanganya umri kwa wapenzi na marafiki zao.
msichana mwenye miaka 14 ama 15 anasema ana miaka 16,msichana ana miaka 17 ama 18 ama hata 19 anakomaa kuwaamisha watu kuwa ana miaka 16.
INASEMEKANA WANAWAKE(wasichana) WENGI WANAITUMIA NAMBA 16 kudanganya umri wao.
Hebu niambieni kila mmoja kama amepata kudanganya umri mara nyingi zaidi kwa kutumia umri wa miaka 16 na kwa nini mnatumia zaidi miaka 16???
How old are?Jibu:16 kumbe hapana.
NILIFANYA PIA KAUCHUNGUZI KADOGO BAADA YA KUONA HII nikabaini kuna ukweli fulani japo sababu kwa wasichana kufanya hivi sikuzibaini mana wahusika hawakubainisha sababu.
kwasababu nyinyi akina kaka mnapenda watoto wadogo. so changes should begin with you.
sa unikute kikongwe heaven hapa,agee imeenda halafu nidanganye 16........,
hivo no vibint vinavyokuwa sie siku hizi hatudanganyi umriii tuna mambo yetu makubwa tunayodanganya
kwa mfano matumizi ya 0713...
hayo umeyasema wewe!!!!!!!!!!!
Ni yapi mengine?
una hakika unataka kuyajua