Namba (0713) ilikuaje likawa tusi/neno chafu

Namba (0713) ilikuaje likawa tusi/neno chafu

SSH2025_2030

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
9,661
Reaction score
9,756
Wote tunajua namba pendwa 0713 kwa sasa hapa mjini ni tusi. Nataka kujuailianzje maka ikawa tusi/neon/lugha ya kuudhi?
 
0713 ni tusi? kwan ni namba ya kifreemasson?
 
Unakumbuka kale kamsemo "express yourself" ndo ilianzia maana hata kule unajiexpress yourself.
 
Ayeeeeeeeee.......Ololo... Aha Aha Aye.....Davido
 
Wenye kampuni ndo wameamua hivyo.

Liwe tusi
 
Back
Top Bottom