Naliamsha dude la NECTA tarehe 30.10.2017

Naliamsha dude la NECTA tarehe 30.10.2017

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,746
Reaction score
25,662
Shikamoo wakubwa waJF?

Kichwa cha habari kinaeleza kwamba tarehe 30.10.2017 nitakuwa pale Jitegemee JKT kuliamsha dude lililoandaliwa na bi Joyce Ndalichako na mshkaji wake Charles Msonde.

Mimi nitasimama kama mtihaniwa binafsi(Private Candidate) na wenzangu wengine.

Dua zenu muhimu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
pandisha mzuka dogo uchore mazombi
Shikamoo wakubwa waJF?

Kichwa cha habari kinaeleza kwamba tarehe 30.10.2017 nitakuwa pale Jitegemee JKT kuliamsha dude lililoandaliwa na bi Joyce Ndalichako na mshkaji wake Charles Msonde.

Mimi nitasimama kama mtihaniwa binafsi(Private Candidate) na wenzangu wengine.

Dua zenu muhimu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahaha wewe kama utabainika hujawai kuvuta bangi basi mimi nitakuwa naitumia kama majani ya chai
 
Back
Top Bottom