..basi unatatizo la kisaikolojia.....
Mwenzenu nusu nitembee na kaka yangu
Started by belie, 17th October 2014 16:35
Kaka wa boyfriend wangu ananitaka
Started by belie, 3rd October 2014 12:46
Anataka kunioa kisa wanawake zake wote wameolewa
Started by belie, 24th September 2014 17:04
Anatishia kuniua kisa ananipenda
Started by belie, 23rd September 2014 14:15
Nahisi bado nampenda
Started by belie, 22nd September 2014 14:40
I don't care ether, what is the meaning of social?
its better speak out and live lather than be quite and die.....!! 'take it from me'
I don't care ether, what is the meaning of social?
its better speak out and live lather than be quite and die.....!! 'take it from me'
I don't care ether, what is the meaning of social?
its better speak out and live lather than be quite and die.....!! 'take it from me'
Habari zenu wapendwa.
Mwenzenu nina tatizo ambalo mpaka leo sijajua linasababishwa na nini! Kwa kifupi ni kwamba nikifanya mapenzi kwa mara ya kwanza na mtu, huwa nikimaliza tendo nalia sana, sijajua ni kwanini haswa.
Yaani najikuta nalia haswa kama nimepatwa na msiba. Tena akinikuna vizuri ndo nalia na kwikwi kabisa tukishamaliza tendo.
Tatizo hili lilinianza toka nilipo bikiriwa na huisha nikishamzoea huyo mpenzi wangu, embu naombeni ushauri nifanyeje ili nisilie? maana sometimes boyfriend wangu anaweza akawa anakwazika bila mimi kujua. Na je does it exist to another woman? or ni mimi tu?
Ushauri jamani.
Kulia katika kubanjuliwa , yawezekana ndio point yako ya kuwa umelizishwa .
Au mdau anakuwa na chombo kama cha mgiriki kwahiyo unakuta ulikuwa unavumila tu ?
Je, huwa unasikia maumivu unapo banjuliwa ? Labda tuanzie hapo.
Endelea tu kulia, haina tatizo