balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 16,513
- 15,153
Chukua barua ya kuacha kazi,nenda nssf watakupa fomu utapeleka kwa boss wako atakujazia na kusign halafu ukirudisha wanakufungulia madai yako,lkn hii ni baada ya miez sita toka umeacha au kuachishwa kazi.Naomben kuelekezwa pia...
Mtu akiacha kazi kwa hiari yake mwenyewe n process gan a2mie ili aweze kulipwa hayo mafao...kwenye mfuko wa NSSF