Nalia na NSSF

Nalia na NSSF

al abry

Senior Member
Joined
Feb 5, 2017
Posts
161
Reaction score
102
Ndugu zanguni habarini za asubuhi!!.
Naam bila shaka wengi tupo salama na tunaendelea na majukum yetu ya kupush gurudumu la maisha kama kawaida, ni jambo la kushukuru.

Najitokeza hapa kwa mara ingine nikiwasilisha uzi wenye kilio kuhusiana na mfuko wa taifa wa hifadhi ya jamii(NSSF).Kwanza na declare interest kwamba ni mwanachama halali wa NSSF.

Wadau kama wengi tunavyofaham kuwa mgodi wa dhahabu wa acacia bulyanhulu unasitisha shughuli zake kwa muda hali inayopelekea wafanyakazi takriban 2000 kupoteza ajira.

Sasa wengi wa wafanyakazi hawa kwa asilimia kubwa ni wanachama wa NSSF kwani ndio mfuko pekee mkongwe uliwah kujitangaza sana na kuaminiwa na wafanyakazi wengi hapa. Mifuko mingine yenye wanachama hapa ni kama PPF, LAPF,GEPF nk..

Tangu mchakato huu wa kupunguza wafanyakazi uanzishwe hapa mgodini,mwajiri amejaribu kuwaalika wadau wa mifuko yote yenye wanachama hapa wakikutanishwa na wawakilishi wa mifuko hiyo lengo likiwa ni kwa wanachama kusikia kutoka kwa wawakilishi wa mifuko yao ni katika muda gani baada ya member kupoteza kazi yake atalipwa mafao yake.

Naam zoezi limeitikiwa vizuuri na mifuko mingine yote isipokua NSSF, kila wanapoitwa kuja kuongea nasi hawatokei kitu ambacho kinazua sintofaham. Kumekuepo na tetesi kua pesa ya mafao italipwa baada ya miezi sita ya mwanachama wa NSSF kupoteza kazi kitu ambacho ni kinyume na ufafanuzi uliotolewa na serikali miezi kadhaa iliyopita kuhusiana na fao la kujitoa.

Ikumbukwe kwamba hatujitolei kuacha kazi (volunteering) bali ni muajiri anasimamisha shughuli zake kwa muda usiojulikana kitu ambacho kinatupa uhalali wa kulipwa pesa mafao yetu ndani ya muda mfupi (wiki mbili) kwa mujibu wa agizo la serikali ili kuhudumia family zetu na kuendelea na maisha ya kila siku.

Ishu ya kulipwa baada ya miezi sita ni udhalim mkubwa ambao watakua wanaufanya kwa sababu hatuachi kazi kwa kuamua wenyewe na hali ya maisha ya sasa kila mtu anaifaham.

Hongereni watu wa LAPF NA PPF kwa ujasiri wa kusema ukweli na mmeahid kulipa wanachama wenu ndani ya wiki mbili naombeni mtimize ahadi yenu.

Rai yangu kwa NSSF kumbukeni mna wanachama wengi nchi nzima pengine kuliko mifuko mingine yote, mtakavyo tufanyia kwa kipindi hiki ndicho kitawatathmini katika siku zijazo. Tafuteni uwezekano wakupata pesa mtulipe ndani ya wiki mbili au hata mwezi ili tuendelee na maisha yetu kama agizo la serikali linavyowataka.

Mkishindwa tafuteni njia zingine za kupata wanachama wa mfuko wenu katika siku zijazo either tukirudi bulynhulu au pengine kokote.. Maana leo tunamaliza mkataba na ninyi ila siku zijazo sisi ndio wanachama wenu tena kama hamtatufanyia hisani kwa leo hamtatupata tena.

Wana jamii forums wenzangu tusaidiane kwa hili maana maisha magum tunarudi vipi mtaani sisi tuliozoea kuajiriwa na kulipwa mshahara??na kama mjuavyo watanzania wengi hatuna tamaduni za kuweka akiba tutaishi vip na hawa wakishindwa kutulipa mafao yetu ndani ya muda mfupi???

Naomba kuwasilisha.


al abry.
 
Ndugu zanguni habarini za asubuhi!!.Naam bila shaka wengi tupo salama na tunaendelea na majukum yetu ya kupush gurudumu la maisha kama kawaida,ni jambo la kushukuru.


Najitokeza hapa kwa mara ingine nikiwasilisha uzi wenye kilio kuhusiana na mfuko wa taifa wa hifadhi ya jamii(NSSF).Kwanza na declare interest kwamba ni mwanachama halali wa NSSF.

Wadau kama wengi tunavyofaham kua mgodi wa dhahabu wa acacia bulyanhulu unasitisha shughuli zake kwa muda hali inayopelekea wafanyakazi takriban 2000 kupoteza ajira.Sasa wengi wa wafanyakazi hawa kwa asilimia kubwa ni wanachama wa NSSF kwani ndio mfuko pekee mkongwe uliwah kujitangaza sana na kuaminiwa na wafanyakazi wengi hapa.mifuko mingine yenye wanachama hapa ni kama PPF,LAPF,GEPF nk..

Tangu mchakato huu wa kupunguza wafanyakazi uanzishwe hapa mgodini,mwajiri amejaribu kuwaalika wadau wa mifuko yote yenye wanachama hapa wakikutanishwa na wawakilishi wa mifuko hiyo lengo likiwa ni kwa wanachama kusikia kutoka kwa wawakilishi wa mifuko yao ni katika muda gani baada ya member kupoteza kazi yake atalipwa mafao yake.

Naam zoezi limeitikiwa vizuuri na mifuko mingine yote isipokua NSSF,kila wanapoitwa kuja kuongea nasi hawatokei kitu ambacho kinazua sintofaham.kumekuepo na tetesi kua pesa ya mafao italipwa baada ya miezi sita ya mwanachama wa NSSF kupoteza kazi kitu ambacho ni kinyume na ufafanuzi uliotolewa na serikali miezi kadhaa iliyopita kuhusiana na fao la kujitoa.ikumbukwe kwamba hatujitolei kuacha kazi (volunteering) bali ni muajiri anasimamisha shughuli zake kwa muda usiojulikana kitu ambacho kinatupa uhalali wa kulipwa pesa mafao yetu ndani ya muda mfupi (wiki mbili)kwa mujibu wa agizo la serikali ili kuhudumia family zetu na kuendelea na maisha ya kila siku.

Ishu ya kulipwa baada ya miezi sita ni udhalim mkubwa ambao watakua wanaufanya kwa sababu hatuachi kazi kwa kuamua wenyewe na hali ya maisha ya sasa kila mtu anaifaham.


Hongereni watu wa LAPF NA PPF kwa ujasiri wa kusema ukweli na mmeahid kulipa wanachama wenu ndani ya wiki mbili naombeni mtimize ahadi yenu.

Rai yangu kwa NSSF kumbukeni mna wanachama wengi nchi nzima pengine kuliko mifuko mingine yote,mtakavyo tufanyia kwa kipindi hiki ndicho kitawatathmini katika siku zijazo.tafuteni uwezekano wakupata pesa mtulipe ndani ya wiki mbili au hata mwezi ili tuendelee na maisha yetu kama agizo la serikali linavyowataka.

Mkishindwa tafuteni njia zingine za kupata wanachama wa mfuko wenu katika siku zijazo either tukirudi bulynhulu au pengine kokote..maana leo tunamaliza mkataba na ninyi ila siku zijazo sisi ndio wanachama wenu tena kama hamtatufanyia hisani kwa leo hamtatupata tena.

Wana jamii forums wenzangu tusaidiane kwa hili maana maisha magum tunarudi vipi mtaani sisi tuliozoea kuajiriwa na kulipwa mshahara??na kama mjuavyo watanzania wengi hatuna tamaduni za kuweka akiba tutaishi vip na hawa wakishindwa kutulipa mafao yetu ndani ya muda mfupi???

Naomba kuwasilisha.


al abry.
Kwa utawala huu usiosikia wala kuwajali wanyonge usitegemee kitu hapo
 
Na ndivyo ilivyo mkuu mpaka miezi 6 ipite fao la kujitoa linatoka, wamerudisha system ya zamani mkuu ,,,mie mwenyewe contract yangu inaisha mwezi March mwakani nimeanza kujipanga kwa kuweka savings isiyopungua 500,000 kwa mwezi ili ikifika March mwakani nikiongezea na Gratuity nakuwa na uhakika wa kuishi mjini kwa kuwa na salio la dharula just in case mishemishe zimegoma
 
Kwani NSSF bado wanatoa mafao baada mfanyakazi kusitishwa mkataba? Vipi kuhusu ile sheria iliyopitishwa bungeni kuwa mfanyakazi atapata mafao yake afikikishapo umri wa miaka 60
 
Ndugu zanguni habarini za asubuhi!!.Naam bila shaka wengi tupo salama na tunaendelea na majukum yetu ya kupush gurudumu la maisha kama kawaida,ni jambo la kushukuru.


Najitokeza hapa kwa mara ingine nikiwasilisha uzi wenye kilio kuhusiana na mfuko wa taifa wa hifadhi ya jamii(NSSF).Kwanza na declare interest kwamba ni mwanachama halali wa NSSF.

Wadau kama wengi tunavyofaham kua mgodi wa dhahabu wa acacia bulyanhulu unasitisha shughuli zake kwa muda hali inayopelekea wafanyakazi takriban 2000 kupoteza ajira.Sasa wengi wa wafanyakazi hawa kwa asilimia kubwa ni wanachama wa NSSF kwani ndio mfuko pekee mkongwe uliwah kujitangaza sana na kuaminiwa na wafanyakazi wengi hapa.mifuko mingine yenye wanachama hapa ni kama PPF,LAPF,GEPF nk..

Tangu mchakato huu wa kupunguza wafanyakazi uanzishwe hapa mgodini,mwajiri amejaribu kuwaalika wadau wa mifuko yote yenye wanachama hapa wakikutanishwa na wawakilishi wa mifuko hiyo lengo likiwa ni kwa wanachama kusikia kutoka kwa wawakilishi wa mifuko yao ni katika muda gani baada ya member kupoteza kazi yake atalipwa mafao yake.

Naam zoezi limeitikiwa vizuuri na mifuko mingine yote isipokua NSSF,kila wanapoitwa kuja kuongea nasi hawatokei kitu ambacho kinazua sintofaham.kumekuepo na tetesi kua pesa ya mafao italipwa baada ya miezi sita ya mwanachama wa NSSF kupoteza kazi kitu ambacho ni kinyume na ufafanuzi uliotolewa na serikali miezi kadhaa iliyopita kuhusiana na fao la kujitoa.ikumbukwe kwamba hatujitolei kuacha kazi (volunteering) bali ni muajiri anasimamisha shughuli zake kwa muda usiojulikana kitu ambacho kinatupa uhalali wa kulipwa pesa mafao yetu ndani ya muda mfupi (wiki mbili)kwa mujibu wa agizo la serikali ili kuhudumia family zetu na kuendelea na maisha ya kila siku.

Ishu ya kulipwa baada ya miezi sita ni udhalim mkubwa ambao watakua wanaufanya kwa sababu hatuachi kazi kwa kuamua wenyewe na hali ya maisha ya sasa kila mtu anaifaham.


Hongereni watu wa LAPF NA PPF kwa ujasiri wa kusema ukweli na mmeahid kulipa wanachama wenu ndani ya wiki mbili naombeni mtimize ahadi yenu.

Rai yangu kwa NSSF kumbukeni mna wanachama wengi nchi nzima pengine kuliko mifuko mingine yote,mtakavyo tufanyia kwa kipindi hiki ndicho kitawatathmini katika siku zijazo.tafuteni uwezekano wakupata pesa mtulipe ndani ya wiki mbili au hata mwezi ili tuendelee na maisha yetu kama agizo la serikali linavyowataka.

Mkishindwa tafuteni njia zingine za kupata wanachama wa mfuko wenu katika siku zijazo either tukirudi bulynhulu au pengine kokote..maana leo tunamaliza mkataba na ninyi ila siku zijazo sisi ndio wanachama wenu tena kama hamtatufanyia hisani kwa leo hamtatupata tena.

Wana jamii forums wenzangu tusaidiane kwa hili maana maisha magum tunarudi vipi mtaani sisi tuliozoea kuajiriwa na kulipwa mshahara??na kama mjuavyo watanzania wengi hatuna tamaduni za kuweka akiba tutaishi vip na hawa wakishindwa kutulipa mafao yetu ndani ya muda mfupi???

Naomba kuwasilisha.


al abry.

Mkuu mimi siku ikifika nafuu nife kwa kupigwa bomu kuliko kufa masikini na wakati hela zangu zipo NSSF, Hawa jamaa ni matapeli, pesa tulizochangishana sisi na waajiri wetu wao wanataka kutupangia namna ya kutulipa!!!?? huu ni wizi mkubwa na utapeli ulio pitiliza, Nyie NSSF mtatoa au hamtoi? nauliza tena mtatoa hamtoi??
 
yaani hapa ni kilio cha wananchi lakini hawataki kabisa kabisa kuwasikiliza kilio chao, mie nishalalamika kuwa japo mkopo basi napo hawataki,
 
Mkuu mimi siku ikifika nafuu nife kwa kupigwa bomu kuliko kufa masikini na wakati hela zangu zipo NSSF, Hawa jamaa ni matapeli, pesa tulizochangishana sisi na waajiri wetu wao wanataka kutupangia namna ya kutulipa!!!?? huu ni wizi mkubwa na utapeli ulio pitiliza, Nyie NSSF mtatoa au hamtoi? nauliza tena mtatoa hamtoi??
VAA BOMU JILIPUE NA MMOJA WA MAMENEJA WAO ILI MESSAGE SEND WATAELEWA TU. NSSF NI KAMA UKOMA !!!
 
Al abry naona giza nene saana mbele yenu,hata wastaafu wanachelewa kupata pension zao.
Sijui NSSF inakwenda wapi.
 
Hakuna kitu Kizuri duniani kama kuwekeza katika Miradi yako au Biashara zako pale wakati bado una nguvu au uwezo kuliko ' Kutumbua ' maisha wakati ' zimekutembelea ' na zikiisha na ukiwa ndiyo unaelekea Saa 12 jioni huku napo Jua la Kusi linazama lazima sasa hapo utawakumbuka sana NSSF na kuwaona hawafai kabisa katika dunia hii.

Kwa wenye akili sawasawa hizi Pesa za NSSF wala huwa hawazitumbulii sana ' mimacho ' na hawana haraka nazo kivile kwani tayari kwa Kipindi chote alichokuwa ana nguvu na anafanya Kazi aliweza ' Kuwekeza ' Kiuchumi na sasa wamestaafu wanafurahia tu ' uwekezaji ' wao na maisha yanaenda.

Siwatetei NSSF na nakubaliana 100% na ' Hoja ' yako ila nadhani kama Watanzania tungekuwa tunaweka sana ' Vipaumbele ' vyetu katika maisha wengi wa wale wanaoacha Kazi au Kustaafu leo wasingekuwa wanataabika humu ' mitaani ' isipokuwa tuna ' Ugonjwa ' mmoja ambao umekuwa ' Sugu ' wa kupenda Kukumbuka Shuka wakati tayari Kumeshakucha na kupelekea sasa kuishi maisha ya full ' stress ' na Kifo au Kiharusi kukukabili.

Kwa dunia hii ya sasa na hata hiyo tunayoenda Watu pekee ambao ' watainjoi ' Kimaisha ni wale tu wenye mwamko wa Kufanya Biashara au Ujasiriamali au wenye Kuwekeza sana katika Miradi ya Kilimo ambayo kwa sasa kama ukiipatia vizuri na kuwa na Elimu nayo ipasavyo ndiyo Sekta ambayo Pesa yake ipo nje nje na hakuna hata siku moja Kilimo kimeweza kumtupa Mtu kwani Mwanadamu hata afanyeje ni lazima tu atatumia kitu kimoja wapo kwa Kula ambacho kinatokana na Kilimo.

Hata hivyo pole sana kwa yaliyokukuta na hao NSSF Mkuu.
 
Al abry naona giza nene saana mbele yenu,hata wastaafu wanachelewa kupata pension zao.
Sijui NSSF inakwenda wapi.
Serikali yetu ndo tunayoilalamikia..ukifikiria kodi tonayolipa kwa mwezi sisi wafanyakazi hasa kwa wenzangu kima cha mshahara kinachozid hyo tsh 720,000#=tunalipa kodi nyingi sana angalau tunapoondoka kazini wangefikiria kua wanatupa pesa yetu kwa wakati.kifikia hapa ndo naona kazi za kuajiriwa sio ishu kabsa hasa kwa nchi kama yetu hii.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kitu Kizuri duniani kama kuwekeza katika Miradi yako au Biashara zako pale wakati bado una nguvu au uwezo kuliko ' Kutumbua ' maisha wakati ' zimekutembelea ' na zikiisha na ukiwa ndiyo unaelekea Saa 12 jioni huku napo Jua la Kusi linazama lazima sasa hapo utawakumbuka sana NSSF na kuwaona hawafai kabisa katika dunia hii.

Kwa wenye akili sawasawa hizi Pesa za NSSF wala huwa hawazitumbulii sana ' mimacho ' na hawana haraka nazo kivile kwani tayari kwa Kipindi chote alichokuwa ana nguvu na anafanya Kazi aliweza ' Kuwekeza ' Kiuchumi na sasa wamestaafu wanafurahia tu ' uwekezaji ' wao na maisha yanaenda.

Siwatetei NSSF na nakubaliana 100% na ' Hoja ' yako ila nadhani kama Watanzania tungekuwa tunaweka sana ' Vipaumbele ' vyetu katika maisha wengi wa wale wanaoacha Kazi au Kustaafu leo wasingekuwa wanataabika humu ' mitaani ' isipokuwa tuna ' Ugonjwa ' mmoja ambao umekuwa ' Sugu ' wa kupenda Kukumbuka Shuka wakati tayari Kumeshakucha na kupelekea sasa kuishi maisha ya full ' stress ' na Kifo au Kiharusi kukukabili.

Kwa dunia hii ya sasa na hata hiyo tunayoenda Watu pekee ambao ' watainjoi ' Kimaisha ni wale tu wenye mwamko wa Kufanya Biashara au Ujasiriamali au wenye Kuwekeza sana katika Miradi ya Kilimo ambayo kwa sasa kama ukiipatia vizuri na kuwa na Elimu nayo ipasavyo ndiyo Sekta ambayo Pesa yake ipo nje nje na hakuna hata siku moja Kilimo kimeweza kumtupa Mtu kwani Mwanadamu hata afanyeje ni lazima tu atatumia kitu kimoja wapo kwa Kula ambacho kinatokana na Kilimo.

Hata hivyo pole sana kwa yaliyokukuta na hao NSSF Mkuu.
Ukweli mtupu mkuu..ahsante sana.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kitu Kizuri duniani kama kuwekeza katika Miradi yako au Biashara zako pale wakati bado una nguvu au uwezo kuliko ' Kutumbua ' maisha wakati ' zimekutembelea ' na zikiisha na ukiwa ndiyo unaelekea Saa 12 jioni huku napo Jua la Kusi linazama lazima sasa hapo utawakumbuka sana NSSF na kuwaona hawafai kabisa katika dunia hii.

Kwa wenye akili sawasawa hizi Pesa za NSSF wala huwa hawazitumbulii sana ' mimacho ' na hawana haraka nazo kivile kwani tayari kwa Kipindi chote alichokuwa ana nguvu na anafanya Kazi aliweza ' Kuwekeza ' Kiuchumi na sasa wamestaafu wanafurahia tu ' uwekezaji ' wao na maisha yanaenda.

Siwatetei NSSF na nakubaliana 100% na ' Hoja ' yako ila nadhani kama Watanzania tungekuwa tunaweka sana ' Vipaumbele ' vyetu katika maisha wengi wa wale wanaoacha Kazi au Kustaafu leo wasingekuwa wanataabika humu ' mitaani ' isipokuwa tuna ' Ugonjwa ' mmoja ambao umekuwa ' Sugu ' wa kupenda Kukumbuka Shuka wakati tayari Kumeshakucha na kupelekea sasa kuishi maisha ya full ' stress ' na Kifo au Kiharusi kukukabili.

Kwa dunia hii ya sasa na hata hiyo tunayoenda Watu pekee ambao ' watainjoi ' Kimaisha ni wale tu wenye mwamko wa Kufanya Biashara au Ujasiriamali au wenye Kuwekeza sana katika Miradi ya Kilimo ambayo kwa sasa kama ukiipatia vizuri na kuwa na Elimu nayo ipasavyo ndiyo Sekta ambayo Pesa yake ipo nje nje na hakuna hata siku moja Kilimo kimeweza kumtupa Mtu kwani Mwanadamu hata afanyeje ni lazima tu atatumia kitu kimoja wapo kwa Kula ambacho kinatokana na Kilimo.

Hata hivyo pole sana kwa yaliyokukuta na hao NSSF Mkuu.
Mkuuu jiwe gizani.....tuwe na mazoea ya kuweka akiba aseee.....pole mtoa mada ela zipo kwenye Ujenzi wa viwanda
 
Nina mwaka na miezi miwili wameniahidi mwezi wa kumi.Kuna jamaa yangu kapata juzi
 
Naomben kuelekezwa pia...
Mtu akiacha kazi kwa hiari yake mwenyewe n process gan a2mie ili aweze kulipwa hayo mafao...kwenye mfuko wa NSSF
 
Back
Top Bottom