MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,255
- 8,027
Hii ni zaidi ya changamoto ndani ya eneo moja tu
HII NI HALMASHAURI YA WILAYA MOJA TU
-Mkuu wa wilaya
-Mkurugenzi wa we we wilaya
-Katibu tawala wa wilaya
-M/kiti halmashauri ya wilaya
-Wabunge wa majimbo
-Wakuu wa idara zote ndani ya halmashauri
Kwa mfumo huu wa utitiri wa watawala hawa wote wanaolipwa mshahara na serikali ndani ya eneo moja ni changamoto kubwa sana kuiendesha serikali. Mtu wa mtazamo mfupi unaweza kusema kua hii ni kurahisisha utendaji wa serikali kumbe ni kuchelewesha baadhi ya mambo bila sababu! Kuna kila sababu ya kubadili mfumo wa kiutawala kwa kila eneo ili utendaji ukae sawa.
HII NI HALMASHAURI YA WILAYA MOJA TU
-Mkuu wa wilaya
-Mkurugenzi wa we we wilaya
-Katibu tawala wa wilaya
-M/kiti halmashauri ya wilaya
-Wabunge wa majimbo
-Wakuu wa idara zote ndani ya halmashauri
Kwa mfumo huu wa utitiri wa watawala hawa wote wanaolipwa mshahara na serikali ndani ya eneo moja ni changamoto kubwa sana kuiendesha serikali. Mtu wa mtazamo mfupi unaweza kusema kua hii ni kurahisisha utendaji wa serikali kumbe ni kuchelewesha baadhi ya mambo bila sababu! Kuna kila sababu ya kubadili mfumo wa kiutawala kwa kila eneo ili utendaji ukae sawa.