Ahahahahahah..Nina vipimio vyangu na hivyo vinabak kuwa siri.
Wala hukusema cha ajab..just an open promise so it can be anything...
Humu ndani unaweza sema watu wanaongea kwa code. Hata sielewi chochote
Sent using Jamii Forums mobile app
Hyoo anapatikana mbona.Umemkosa kwenye uzi wao wa vijana una trend hiv sasa??heb kamtafute na kule ila chunga masihara..na mm nikimkuta huko ntampa salam mana hua napita pita ahahahahahahKweli wewe ni mzee mwenzangu, hapana shaka. You have my words and waiting for the alert. It'll be Granny's Promise Kept... wooow!!!
Ila ukibahatika kuonana na BAK kabla mwaka haujaisha utanifikishia salamu kuwa, hajaonekana kwenye dancing floor kitambo sana.
Kwenye uzi wako nimemuona Jael tu 😂
Hyoo anapatikana mbona.Umemkosa kwenye uzi wao wa vijana una trend hiv sasa??heb kamtafute na kule ila chunga masihara..na mm nikimkuta huko ntampa salam mana hua napita pita ahahahahahah
Usharudi darCheers to that too, we have two promises so far.
I like that siwezekaniki..... 31st December please come early.
K' Matata.
Duuuh!!!, akirejea maandishi lazima upigwe na frampeni kichwani au ufagio... get prepared.
Sababu kiakili hio habar ya uzuri na ubaya hawaipi uzito. Binafsi nilazima nivutiwe namtu kma Bibi apo haijalishi atakua anafananajeSiku zote wanaume ma handsome hua wanakuwaga na wanawake wabovu na wanawake wazuri hua na wanaume wenye sura ya kazi..hio ni general rule na to every general rule there are exceptions....
Wachaaaa weeh, sawa bibi.Aahahahhahaaahahahaa
Kasie Mahaba Matata.