Nakuuzia Tecno Camon C9 Kwa 150K

Nakuuzia Tecno Camon C9 Kwa 150K

Castr

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2014
Posts
38,275
Reaction score
76,920
SOLD

SCREEN SIZE: 5 Inches

NETWORK: 2G, 3G & 4G

SIM: Dual Sim

RAM: 2GB

INTERNAL STORAGE: 16GB

CAMERA: 13MP

BACK CAMERA: 13MP

BATTERY: 3000mAh

MAHALI: Dar

MAWASILIANO:

Huu muonekano wa juu ni protector.

SOLD

IMG_20180902_122034.jpg
 
Basi we sio mjanja, ungeitoa uweke picha ikiwa bila hiyo broken protector, au ungenunua nyingine ya buku tatu uweke, hapo ata kilo mbili wangekuja, janjaruka comredy.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ebwana ni bonge la idea ila niliwaza kua atakayeitaka tukishahakikishiana pesa hiyo protector inatolewa ili aamini.
 
Mkuu was kazi Castr nifanyie laki na 10 moja nipate ya kupigia picha bidhaa zangu
 
Write your reply...tatizo niko huku mpanda,ningekuwa karibu ningeinyakua hiyo,baada ya kupigwa C-five
 
Write your reply...tatizo niko huku mpanda,ningekuwa karibu ningeinyakua hiyo,baada ya kupigwa C-five
Niamini, nitumie hela ya kutosha kuitoa 150K mimi nitakutumia huko huko.
 
Back
Top Bottom