Nakupenda ila please naomba unipe muda

Nakupenda ila please naomba unipe muda

Feelings come, feelings go. Mda ule ndio ulikuwa your time na what did you expect after 5 year?? Hiyo sio Korean drama

Don't hunt what you can't kill.
 
Hiyo miaka mitano wew hukuwa na mtu mwingine? Tumia muda aliyokwambia umpe kuimarisha Mahusiano uliyonayo kwa Sasa.

Cha pili jifunze kufanya maamzi kwa kutumia kichwa na si kufanya maamzi kwa kutumia uume Kama unavyofanya Sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Machmadem

Siamini kwenye penzi liliowahi kufa kuja kuchipuka tena..ex hawezi kuwa mke wala mume...

Ndege ameshapepea huyo...jiandae kisaklojia mdau
 
We songa zako...mimi nimeshawahi kuvurugwa na mahusiano ya nature yako...mwishowe tuliishia njiani...we tafuta mali mpyaaa...anza nayo safar kaka.
 
Sawa Mkuu. Kama miaka 5 ambayo hukuwa nae umeweza kuishi vizuri otherwise Kama uliishi kwa mateso nje yake. Lakini Kama maisha yaliweza kwenda bila yeye, then songa ndugu yangu!

Pamoja na yote haya, bado moyo wako ndo wenye nafasi kubwa ya kufanya maamzi ya mwisho. Lakini kwa tafsiri ya haraka ya sentence yake ni kwamba bado hajawa tayari wew endelea na mishe zako.

Maana yake usubiri usibiri mtu ayumbe kimahusiano ndo uchukue, akisolve wew utakuwa katika nafasi gani? Jiulize!!!
nimekupata vizur mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mrembo atakua na akili sana kuliko wewe na amekusoma tayari wewe ni yule yule wa 5yrs.

Anataka kuhesabu fedha zake akiwa nyumbani sio mezani wakati bado anacheza gambling.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom