Nakupenda ila please naomba unipe muda

Nakupenda ila please naomba unipe muda

Machmadem

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2017
Posts
758
Reaction score
941
Habari za juma pili.

Niende kwenye mada. Inshort ni mwanamke tulie achana miaka 5 nyuma ikiwa mimi ndio chanzo.

Tumejikuta tunaingia tena katika kulingana na kila moja bado kua na feeling na mwenzake

Lakini kuna unjumbe ambao nimepokea leo asibuh kutoka kwake nimebaki mdomo wazi sijui nijibu nini naombeni ushauri jamani

Huu ndio ujumbe unasema

"Machmadem nakupnd ila plz naomb unipe mda kwanz ku build haya mpnz yetu upya coz nahc na mamb meng yakuwek saw kwnz wakt huu plz emu npe mda kwnz nahc kwa ss sitokuw serious"



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dogo kuwa makini, wanawake hawapo wazi kwenye kauli zao, nipe muda inaweza kuwa ndio tayari umeshapigwa kibuti ivyo au inaweza kuwa anakuona unamletea ma lovey dovey unataka kutulia wakati yeye bado anakitembeza.

Kama unataka mahusiano ya kutulia, ni rahisi kuanza mahusiano mapya kuliko kufufua mahusiano yaliyojifia.

We mtoto wa kiume, linapokuja suala la mademu usiwe na scarcity mindset, mademu wapo kibao, kwa nini uhangaike na ex. She's your ex for a reason.
 
Dogo kuwa makini, wanawake hawapo wazi kwenye kauli zao, nipe muda inaweza kuwa ndio tayari umeshapigwa kibuti ivyo au inaweza kuwa anakuona unamletea ma lovey dovey unataka kutulia wakati yeye bado anakitembeza.

Kama unataka mahusiano ya kutulia, ni rahisi kuanza mahusiano mapya kuliko kufufua mahusiano yaliyojifia.

We mtoto wa kiume, linapokuja suala la mademu usiwe na scarcity mindset, mademu wapo kibao, kwa nini uhangaike na ex. She's your ex for a reason.
ushauri mzur sana mkuu asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom