Nakumbuka...

Nimeisoma yote ila sijaona funzo la moja kwa moja kutoka kwa dada zaidi ya kutumia muda mrefu kupata mafanikio ambayo wenzie waliyapata ndani ya muda mfupi bila kutumia jasho,ilitakiwa utuoneshe side effect ya walionunua mitihani either walidisco au walifukuzwa kazi,ila kama wakaendelea kula bata mpaka Leo tena Mara nyingi zaidi ya binti mbona poa tu,na yule mhasibu kapiga milioni 20 na kaendelea kudunda Mara nyingi zaid ya binti aliyeenda kuteseka zaid akitafuta CPA Huku wenzie wakila bata,MPE pole mwambie maisha ni akili tu na the way unavyozichanga kama masamaki,maisha yenyewe mafupi....kwahiyo hapo kufundisha Moshi ndo kilele cha mafanikio au??
 
Mentor atarudi
 

Huyo BOLD anamfahamu vyema huyu binti....muulize yeye atakueleza kinagaubaga!!!

Asipokupa funzo rudi kwangu...
 
Mentor atarudi

1. Maisha si mashindano. Inspire people by God's blessings on you due to your faithfulness to Him not on others' failures.

2. Wengi wa hao watu ndio hawa waliokuja kukamatwa wakati wa utawala huu wa awamu ya tano.

3. Uzuri wa jasho lako ni unalila bila hofu. Unakuwa na amani. "Hakuna pesa tamu kama ya jasho yako"

4. Hao waliozichanga kimjinimjini ndio waliofanya taifa lifikie hapa lilipo.

5. Tatizo la binadamu tunapenda kujipenda/kujifirikia wenyewe tu.
 
Umemaliza mkuu
 
sijui kwa nini ila stori imekua fupi sana
 
Naam, Mentor katika ubora wake.
story nzuri,inafundisha na kutia moyo.
 
Kwa miaka hii hapana, wadada vyuoni wanaagawa penzi kama karanga kwa malecture ili wasi supp au kuepuka special.
 
Duuu aisee hongera yake ,ila dunia ya sasa hivi ni kama Kobe tu ukikosea timing sijui kama kuna nafasi nyingine
 
Ubarikiwe,....injili imewafikia wengine wengi...........
 
Mungu hamtupi mja wake hakuna mtu aliyemtegemea Mungu kwa asilimia 100 halafu amuache kwani anakuwa anamuangalia kama mboni ya jicho lake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…