Kikwete naye aliharibu nchi sana. Ufisadi, kutowajibika na uzembe vilikuwa ndiyo sera yake. Tuombe Mungu tusirudi tena kwenye lile giza.Kwenye maisha Kuna mambo mengi Sana Tunayapitia yakufuraisha na kuhuzunisha
Katika Maisha yangu nimejifunza kua Kuna Mengi Bado ya kujifunza na pia nimejifunza kua changamoto Hua nyingi kuliko Hamasa
Nakumbuka Mapenzi yangu yalivyo kua kwa kikwete Enzi izo bado ni Rais. Nakumbuka nilijitoa Sana kama kijana kwenye Ccm nilipambana sana
Lakini toka alipoingia Rais Magufuli mambo yakabadilika viongoz wote Tulio kua Tunawaamin Enzi za mh kikwete Bado Rais wakaanza kutupofusha na kumchafua mzee kikwete mpaka chama Tulicho kiamin kama Umoja wetu kikaanza kuongea Maneno Mabaya juu ya Mzee kikwete na kupelekea kutupandikiza chuki juu yake
Ila wahenga walisema siku zote ukwel utabaki ukweli tu Leo nimeona Taswira ya nchi yetu ilivyo uku ukwel ukiwa kwamba Mazur haya yanachangiwa na mawazo machache ya mzee wetu
Naomba mzee wangu unisamehe sana kuanzia Sasa narud kambin Rasm na Ccm itanabaki ku shine tu mungu akulinde Baba
Magufuli alijitahidi sana kuondoa takataka za KikweteKikwete naye aliharibu nchi sana. Ufisadi, kutowajibika na uzembe vilikuwa ndiyo sera yake. Tuombe Mungu tusirudi tena kwenye lile giza.