NAKUMATT Supermarket yafungua branch Dar

NAKUMATT Supermarket yafungua branch Dar

mende 2014

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2014
Posts
763
Reaction score
131
Taarifa nilizozipata kutoka kwa rafiki wa karibu ni kwamba NAKUMATT imefungua branch Dar es salaam. Walioko Dar mtujuze hizi taarifa kama zina uhakika.
 
Yaap mkuu wamefungua branch mbili... Na moja arusha ukiachana na ya kwanza kufunguliwa ya moshi
 
Mkuu wamenunua bidhaa zote za Shoprite..so pale mlimani city palipokuwa eneo la Shoprite kwa sasa ni NAKUMATT..karibu uje umfanyie shopping shemeji..sikuuu si.ndo hiyo muzee..
 
Hivi nakumat na uchumi ni dugu moja? Sielewi hapo?


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Nakumatt ndo wamiliki wa Uchumi

Tks mkuu. Nasikia raila o ndo mmiliki. Ni kwei? Sijui na ss tanganyikans lini titafungua sokobora Nairobi.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Jamani mbona nimesikia Uchumi ni ya Mangi?
 
Nakumatt ndo wamiliki wa Uchumi
siyo kweli hii umeipata wapi wamiliki wa Uchumi wapo kama sita pamoja na wizara ya biashara ya Kenya na kina Jamal, Nakumatt ya Shah.
 
Tks mkuu. Nasikia raila o ndo mmiliki. Ni kwei? Sijui na ss tanganyikans lini titafungua sokobora Nairobi.


Sent from my iPad using JamiiForums

Rais Uhuru ndie mmiliki.
Wasije lazima aharakishe kuleta masupamaket kwetu, kwao haendi mtu kwa uoga wa alshabaab. Wasije wakafuatwa tu kwetu.
 
Taarifa nilizozipata kutoka kwa rafiki wa karibu ni
kwamba NAKUMATT imefungua branch Dar es
salaam. Walioko Dar mtujuze hizi taarifa kama zina
uhakika.

Mkuu
Unataka utoke huko uliko uje kushop Dar??
 
Rais Uhuru ndie mmiliki.
Wasije lazima aharakishe kuleta masupamaket kwetu, kwao haendi mtu kwa uoga wa alshabaab. Wasije wakafuatwa tu kwetu.

Hata sisi
Kama jamaa wasipopewa Mapesa yao yaliyo kwenye ile bank tutapigwa tu.
 
Taarifa nilizozipata kutoka kwa rafiki wa karibu ni
kwamba NAKUMATT imefungua branch Dar es
salaam. Walioko Dar mtujuze hizi taarifa kama zina
uhakika.

wa mikoani kwa viherehere! sasa wee uko mkoani, unaulizia branch ikifunguliwa DSM!
 
Shoprite wa South Africa wameuza duka kwa Nakumatt ya Kenya. Maybe nyanya na apples hazitatoka SA sasa.
 
Hivi nakumat na uchumi ni dugu moja? Sielewi hapo?


Sent from my iPad using JamiiForums

Nakumatt ni kifupi cha nakuru mattress. Mi kampuni binafsi ya muhindi, alianza na biashara ya magodoro kule nakuru sasa kapanuka na kufungua supermarkets
Uchumi ni public company share zake ziko NSE, sijui majority shareholder ni nani lakini haiwezi kuwa nakumatt sababu sheria za monopoly zinakataza. Ila nakumatt huenda wana shares chache
 
Hivi nakumat na uchumi ni dugu moja? Sielewi hapo?


Sent from my iPad using JamiiForums

NAKUMATT NI PRIVATE COMAPY NA UCHUMI NI PUBLIC COMPANY. ILIANZISHWA NA SERILIKALI HALUFU WAKAUZIA WANANCHI HISA.
Our History
history%20%282%29.jpg

On 17th December 1976, Uchumi shareholders-Industrial Commercial & Development Corporation (ICDC), Kenya Wine Agencies Limited (KWAL) and Kenya National Trading Corporation (KNTC) - all Government owned parastatals entered into a management contract with Standa SPA of Italy. Standa, a leading supermarket group with a presence in Europe and vast retail experience was given the task to manage and train Kenyan personnel who would eventually take over the running of the organization. In the 1990's Uchumi spearheaded the hypermarket concept in Kenya.
In early 2000s Uchumi started to experience financial and operational difficulties occasioned by a sub-optimal expansion strategy coupled with weak internal control systems.. As a result, on 31st May 2006, the Board of Directors resolved that the Company ceases operations and on 2nd June 2006, the Debenture Holders placed the Company under receivership. Simultaneously, the Capital Markets Authority (CMA) suspended the Company's listing on the Nairobi Securities Exchange (NSE).
Following a framework agreement between the Government of Kenya, suppliers and debenture holders, the company is revived and commenced operations from 15th July, 2006 under Specialized Receiver Manager (SRM) and interim management.
The management and staff have since worked tirelessly to redeem the company. From a negative bottom line in 2006, the company has reported profits in the last three financial years. The lending banks in turn lifted the company's receivership in 2010 and the company was successfully re-listed in the Nairobi Securities Exchange on 31st May 2011 – exactly five years to the date that it was suspended. The company is indebted in gratitude to the government, lending banks, our suppliers, customers and shareholders for their support and commitment to saving one of Kenya's oldest strongest brands.
 
Back
Top Bottom