Nakuja huko huko...

Kilahunja

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2011
Posts
1,500
Reaction score
344
Ngrrr ngrrr
Sauti: halow hapo makumbusho ya taifa
Ofisi: ndio, nikusaidieje?
Sauti: nlitaka unikumbushe saa yangu iliibiwa jana sasa nlitaka nijue, imeibiwa na nani, na iko wapi ?
Ofisi: mmxeeew pumbaav, sio kaz yetu!
Sauti: haaa, sasa nini kaz yenu?
Ofis: kuifadh kumbukumcu ya vitu vya zamani na vilivochakaa
Sauti: basi saa yangu mtakua nayo nyinyi, maana ilikua ya zaman na iliyochakaa, nakuja hukohuko kuichukua, mbarikiwe!
 
Chezea kichapo yeye, hapana tania mali ya umma
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…