Hata ukipata hiyo kazi ni mkataba maana hawawezi watu wao kukosa kazi mgeni umeziba. Kingine, nao wana kale kaugonjwa ka kuchukia wageni kwa mbali.Kwa maana hiyo mikataba ilipokwisha walinyimwa kuongeza. Asante saana naendelea kuchukua taarifa kukurupuka sio kuzuri.