maswala ya ubosi yapo kwenu ccm na ndo maana mnatuumiza ,mnapenda sana ubosi matokeo yake nchi imewashinda jamaa anaonyesha kumkubali ili nasi tumkubali,upaswi kuwa na Phd kujua hili ile ni mbinu ya ushawishi na kuonyesha kuwa ubosi ni ujinga unapotafuta mafanikio.
mambo ya uboss tunawaachia nyie sie tunataka utendaji uliotukuka
Sasa wewe unaweza kulinganisha huyo babu na lowassa