Nakuhamuru mh rais



Kama Magufuli atasikiliza ushauri wa waziri wa fedha Phillip Mpango na Katibu Mkuu wa Hazina Likwelile hawezi kuchukua hatua dhidi ya gavana wa BOT kwani hao wote wawili ni watu aliowajenga yeye [ wanafunzi wake]!!!
 
unamhamuru..............Kiswahili nacho chatupiga chenga,Kizungu tutaweza kweli
 
'Nakuhamuru'...yaani hata kiswahili kimegeuka lugha ya kigeni siku hizi.wtf

Teh teh teeeeeeh
Yani ndio nimemjua huyu ----.
Anajiita Moshi vijijini mpaka nikashangaa.
Moshi hakunaga zoba la hivi.
Sasa leo kwa lafudhi yake nimemmanya.
Mtu unakuwa na mwandiko mbaya mpaka kwenye simu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…