sassy girl
Senior Member
- Sep 19, 2020
- 112
- 174
Habari wanajukwaa hili la JF,
Mimi ni mjamzito na ni ujauzito wangu wa kwanza, wakati ipo changa nilikua nasumbuliwa sana na morning stickiness hata maji nilikua sinywi, natema mate tu na kutapika harufu mbaya mbaya yani nilikonda sana kiasi nilikua naumwa Hadi mwanaume wangu akawa anaogopa akawa ananiambia kama haitaweza kuhandle situation tuitoe hakusema Kwa nia mbaya kwakua wote tulimuomba na kumdhamiria hichi kiumbe nafikiri ni kwakua umri wetu na wote hatujawahi kuwa na mtoto, mtoto wetu wa kwanza kwetu sote.
Nisiwachoshe kilichonifanya niandike ni hiki 2nd semester nikawa na ahueni angalau nakula matunda na chakula kiasi nadokoa dokoa hv hv Ila mate yalikua bado nilikua na kopo kabisa special ghafla nikaanza kupata hamu ya Udongo nikamwambia mwenzangu akaenda nitafutia (sipo nyumbani Tanzania ilibidi nigoogle akautafute masokoni lol) akaupata Ila mweupe na nikaridhika nao.
Tatizo likaanza nikishakula chakula udongo ndy kama tunda langu naushushia yani hata dk 5aimalizi toka nile nataka udongo na nnaula hasa hadi najihirumia nikawa Hadi nauficha na kujaribu kujiwekea limit lakin nafail nakumbuka Kuna siku uliisha nikasema nitajikaza na sitakula tena chakula Hadi kesho mana nikila lazima nile udongo else najitskia hovyo hamuwezi amin nilipata shida nilizunguka nyumba mzima usiku wa manane Hadi nilipopiga jicho jikoni kulikua na viazi vitamu vibichi yale maganda yake yanaudongo nikawa nabandua udongo nakula.
Mwezi ujao M/Mungu akijaalia ntajifungua InshaAllah Ila tangu juzi kiukweli najskia hovyo na nahisi kabisa na akili yangu inaniambia ni udongo nikila au nisipokula hali Sawa Ila nashindwa kuacha mwili unakosa nguvu na najua fika nimeula mwingi sana naombeni kujua kama ndy sababu ya kuhisi hovyo na je madhara ya Udongo ingawaje kesho InshaAllah nimepanga kama hali itakua hii niende hospital.
Asante I naombeni kujua madoctor
Sent from my Nokia 7.2 using JamiiForums mobile app
Mimi ni mjamzito na ni ujauzito wangu wa kwanza, wakati ipo changa nilikua nasumbuliwa sana na morning stickiness hata maji nilikua sinywi, natema mate tu na kutapika harufu mbaya mbaya yani nilikonda sana kiasi nilikua naumwa Hadi mwanaume wangu akawa anaogopa akawa ananiambia kama haitaweza kuhandle situation tuitoe hakusema Kwa nia mbaya kwakua wote tulimuomba na kumdhamiria hichi kiumbe nafikiri ni kwakua umri wetu na wote hatujawahi kuwa na mtoto, mtoto wetu wa kwanza kwetu sote.
Nisiwachoshe kilichonifanya niandike ni hiki 2nd semester nikawa na ahueni angalau nakula matunda na chakula kiasi nadokoa dokoa hv hv Ila mate yalikua bado nilikua na kopo kabisa special ghafla nikaanza kupata hamu ya Udongo nikamwambia mwenzangu akaenda nitafutia (sipo nyumbani Tanzania ilibidi nigoogle akautafute masokoni lol) akaupata Ila mweupe na nikaridhika nao.
Tatizo likaanza nikishakula chakula udongo ndy kama tunda langu naushushia yani hata dk 5aimalizi toka nile nataka udongo na nnaula hasa hadi najihirumia nikawa Hadi nauficha na kujaribu kujiwekea limit lakin nafail nakumbuka Kuna siku uliisha nikasema nitajikaza na sitakula tena chakula Hadi kesho mana nikila lazima nile udongo else najitskia hovyo hamuwezi amin nilipata shida nilizunguka nyumba mzima usiku wa manane Hadi nilipopiga jicho jikoni kulikua na viazi vitamu vibichi yale maganda yake yanaudongo nikawa nabandua udongo nakula.
Mwezi ujao M/Mungu akijaalia ntajifungua InshaAllah Ila tangu juzi kiukweli najskia hovyo na nahisi kabisa na akili yangu inaniambia ni udongo nikila au nisipokula hali Sawa Ila nashindwa kuacha mwili unakosa nguvu na najua fika nimeula mwingi sana naombeni kujua kama ndy sababu ya kuhisi hovyo na je madhara ya Udongo ingawaje kesho InshaAllah nimepanga kama hali itakua hii niende hospital.
Asante I naombeni kujua madoctor
Sent from my Nokia 7.2 using JamiiForums mobile app