Nakufa na stress za kukosa chuo

Nakufa na stress za kukosa chuo

Izizimba

Senior Member
Joined
Jan 23, 2017
Posts
152
Reaction score
412
Baadhi ya vyuo second round selections bado haijatoka huku third round of applications imeshafungwa.
Third round sikuapply kwasababu nilikuwa nasubiri UDOM na MZUMBE watoe second round , mpaka sasa bado hawajatoa. What if nikikosa UDOM na MZUMBE?
 
Baadhi ya vyuo second round selections bado haijatoka huku third round of applications imeshafungwa.
Third round sikuapply kwasababu nilikuwa nasubiri UDOM na MZUMBE watoe second round , mpaka sasa bado hawajatoa. What if nikikosa UDOM na MZUMBE?
Unasubiri hadi next year
 
Umeona hapo, dogo mwenyewe ajielewi hata alipokosa siku shangaa angalia koz anazochagua
Screenshot_2018-09-28-11-09-22.jpeg
 
Wametoa huyo dogo amekosa ndio maana nimeweza kumfanyia round ya tatu
 
kwa nini dogo amekosa na hizo kozi za kawaida tu
Anamatokeo mazuri tu lakini anakata tamaa kirahisi nia yake afike chuo tu kama kubadili akabadilishe huko , rafiki yake amemtia ndimu kwamba anaweza kubadili chuo basi me nafanya anachotaka yeye , inaelekea kuna ugumu wa kupata Maana nimemjazia vizuri plus ye ni msichana kwa ufauru wake ingebidi apate
 
Hahahaa!! Dogo kama anachagua viazi gengeni
Ndio hivyo ndugu ningeweza kumshauri sema me masomo yao siyajui angekua amesoma science ingekua rahisi kumsaidia pia na epuka lawama akikosa asije kusema nilimuharibia
 
Ndio hivyo ndugu ningeweza kumshauri sema me masomo yao siyajui angekua amesoma science ingekua rahisi kumsaidia pia na epuka lawama akikosa asije kusema nilimuharibia


Kweli Mkuu. Vijana hawana Focus katika maisha. Hizo kozi mbona ni mbingu na ardhi. Hazina hata uhusiano. Inaonekana mchaguaji hana malengo yoyote kuwa atakuja kuwa nani
 
Back
Top Bottom