ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,531
- 44,641
- Thread starter
- #21
Unamaanisha Nini?nifanye mapenzi outdoor.siwezi kwa kweli nataka niingize demu roomMbona mna matawi mengi tu na hiyo huwa ndo kazi yake wewe unayumba
Unamaanisha Nini?nifanye mapenzi outdoor.siwezi kwa kweli nataka niingize demu roomMbona mna matawi mengi tu na hiyo huwa ndo kazi yake wewe unayumba
Anajitekenya mwenyewe alafu anacheka
Sasa ww Chakubanga Vp hujapewa buku Saba zako au walikurushaWajomba/shangazi zangu wa Jf kwanza nianze kwa kuwaeleza Hali halisi ya kiuchumi nayopitia.mimi kiukweli bado tegemezi kwa zaidi ya asilimia 60.namaanisha kipato changu nasaidiwa na wadau wengine ndugu zangu.sasa siku hizi kipato changu kinachezea chini ya dollar mbili kwa siku.pesa yangu kwa siku nayopata na kutumia Ni chini ya 5000.na nikisema niiweke akiba Basi jua itakuwa vigumu kuipata nyingine inanibidi niitumie hio pesa ndo nipate angalau nyingine.ndio maisha yangu hayo Mimi na vijana wengi wa kitanzania.toka mwanzo natambua kuwa jukumu la kulipia guest ni la mwanaume.nina mademu Kama watatu hivi afu huwezi kuamini nimewapata kizali zali yaani bila kuwa na hela wamenielewa uzuri Ni kwamba hawaniombi hela.sasa tatizo lipo kwenye mimi kukosa hela ya kukodi chumba guest House ili nifanye nao mambo SI mnajua tena.sina chumba naishi home na siwezi kufanya ujinga wa kuingiza demu ndani kwetu.mpaka nimechoka akili Kama juzi Valentine day nimeshindwa kugemua kisa Sina 10000 ya guest.najua humu ndani Kuna hamuwezi kushindwa kunisaidia chochote.nawasikiliza nyie kwa Sasa ndio msaada wangu natanguliza shukrani.
Achana na huyo Chakubanga wa LB buku Saba FC amerushwa hela yake sasa anataka huruma yetuNgoja shangazi na wajomba zako waje
Tahira huyo hajitambuiWewe si kila siku unasifu kwamba tuko kwenye right track?
Leo nakutana na koment zinanipa burudaniMkuu kwani ukichukua buku 7 unayopewa pale lumumba ukaizidisha mara 7 si unapata Tsh 49,000?
JItahidi uwe unashindia walau mihogo ya bukubuku ill mwisho wa week uwe na akiba ya Tsh 42,000 alafu utafute malaya wa bei rahisi inatosha kabisa.
Kumbuka lakini ndani ya week hiyo tutaepukana na utumbo wako unaopost huku jamiiforums
Tahira huyo hajitambui Achana naeMkuu kwani ukichukua buku 7 unayopewa pale lumumba ukaizidisha mara 7 si unapata Tsh 49,000?
JItahidi uwe unashindia walau mihogo ya bukubuku ill mwisho wa week uwe na akiba ya Tsh 42,000 alafu utafute malaya wa bei rahisi inatosha kabisa.
Kumbuka lakini ndani ya week hiyo tutaepukana na utumbo wako unaopost huku jamiiforums
Nan akupe hela ww ChakubangaUkinipa 10000 nahamia chadema
Toka hapa unanuka Ndiyo maana yule demu wa singida uliyempa mimba alikukimbiaMbona siasa zinawafanya muwe na roho mbaya sana.mchukie Magufuli peke yake sisi wengine tuache ukituchukia utaweza?tuko Zaid ya Million 10
Hahahah, mimi mwenyewe sijui kwanini nafurahi pale mwanaccm anapopatwa na matatizo
We jmaa upon kwenu unatafura nn, hapa hapo kwenu tafuta chumba cha elfu kumi kwa mwezi ujitegemee, hyo ya kulipia guest so bora ulipie chumba cha kupanga!! AF jifunze kufanya kazi zingine hats kma ni out of your professional ili uongeze kipato chako!! Kabebe hats zege per day unachukua kuanzia elfu 20 na kuendelea acha utoziWajomba/shangazi zangu wa Jf kwanza nianze kwa kuwaeleza Hali halisi ya kiuchumi nayopitia.mimi kiukweli bado tegemezi kwa zaidi ya asilimia 60.namaanisha kipato changu nasaidiwa na wadau wengine ndugu zangu.sasa siku hizi kipato changu kinachezea chini ya dollar mbili kwa siku.pesa yangu kwa siku nayopata na kutumia Ni chini ya 5000.na nikisema niiweke akiba Basi jua itakuwa vigumu kuipata nyingine inanibidi niitumie hio pesa ndo nipate angalau nyingine.ndio maisha yangu hayo Mimi na vijana wengi wa kitanzania.toka mwanzo natambua kuwa jukumu la kulipia guest ni la mwanaume.nina mademu Kama watatu hivi afu huwezi kuamini nimewapata kizali zali yaani bila kuwa na hela wamenielewa uzuri Ni kwamba hawaniombi hela.sasa tatizo lipo kwenye mimi kukosa hela ya kukodi chumba guest House ili nifanye nao mambo SI mnajua tena.sina chumba naishi home na siwezi kufanya ujinga wa kuingiza demu ndani kwetu.mpaka nimechoka akili Kama juzi Valentine day nimeshindwa kugemua kisa Sina 10000 ya guest.najua humu ndani Kuna hamuwezi kushindwa kunisaidia chochote.nawasikiliza nyie kwa Sasa ndio msaada wangu natanguliza shukrani.
Ubarikiwe mkuu.ningekuwa na hela ungekunywa sodaWe jmaa upon kwenu unatafura nn, hapa hapo kwenu tafuta chumba cha elfu kumi kwa mwezi ujitegemee, hyo ya kulipia guest so bora ulipie chumba cha kupanga!! AF jifunze kufanya kazi zingine hats kma ni out of your professional ili uongeze kipato chako!! Kabebe hats zege per day unachukua kuanzia elfu 20 na kuendelea acha utozi
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona eeeehh huku kitaa hakuna fairness itabidi ujitume tu kwa hali yoyote ile ili utoboe, la sivyo life ni tough huku mtaaniUbarikiwe mkuu.ningekuwa na hela ungekunywa soda
Wewe si kila siku unasifu kwamba tuko kwenye right track?
Mkuu kwani ukichukua buku 7 unayopewa pale lumumba ukaizidisha mara 7 si unapata Tsh 49,000?
JItahidi uwe unashindia walau mihogo ya bukubuku ill mwisho wa week uwe na akiba ya Tsh 42,000 alafu utafute malaya wa bei rahisi inatosha kabisa.
Kumbuka lakini ndani ya week hiyo tutaepukana na utumbo wako unaopost huku jamiiforums