Hauna ulemavu wowote. Jiamini tu, ukienda kwenye mchezo wa kule kiwanja cha 6 x 6 wewe dondosha magwanda yako chini bila hofu ubaki na nguo za kuzaliwa nazo kisha mpe mechi ya ushindani huyo jamaa yako kiasi mechi ikiisha analala fofo kwa uchovu kutwa nzima. Hiyo ni kama ukiwa na upara, kovu, ulemavu wa mkono ukaanza kuficha ficha unakosa kujiamini na kuilaani siku uliyozaliwa, lakini ukiacha watu waone na kujua unakuwa hauna aibu na unaishi kwa furaha na amani. Kwa taarifa yako wanawake wengi sana wakivua magwanda wengi ni weusi sana makalio, mapajani na kuzuka mitaa ya kati. Wanaume wengi wanafuata ile kitu ya kati rangi ya huko haina tija mradi kwa nje unalipa na kitakalio kipo, pia kama haujajichubua.