mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 1,413
- 5,150
Huyu jamaa ukiacha vimashuti uchwara na damu ya kukubalika kama binadamu hakuna mchezaji wa maana pale..ni wale wachezaji wa nyakati kadhaa tu. Mudathiri Yahya , Yahya zaidi, na wengine wengi ni wachezaji wazuri mno zaidi yake