Nakaribia kuoa ushauri tafadhali

Nakaribia kuoa ushauri tafadhali

Tuzinduke

Member
Joined
Aug 3, 2014
Posts
50
Reaction score
14
Januari 8 naingia katika ndoa panapo majaliwa nataka ushauri pamoja na nasaha.
 
Oa tu,lakini jua hakuna mwanamke wa peke yako
 
Trust nobody except you but study everybody daily including your new beautiful wife.
Bitter truth. Kiumbe ambaye hatakuangusha ni Mungu tu. Weka mikakati ya kumfanya awe kiongozi wako mkuu.

wewe ni kichwa cha familia (biologically true). simamia vizuri familia yako, nyumba yako iwe ndio mahali penye furaha kuliko mahala popote kwa kushirikiana na mwenzako.
 
Congrats dear.. My advice to you put God first in everything you do ask for the Divine wisdom daily . Make God as a founder and author of your marriage . Trust the Lord with all your heart and lean not of your own understanding, make Him as your Rock in your household.. Amen.. Good luck my brother.. Thanks..
 
Congrats dear.. My advice to you put God first in everything you do ask for the Divine wisdom daily . Make God as a founder and author of your marriage . Trust the Lord with all your heart and lean not of your own understanding, make Him as your Rock in your household.. Amen.. Good luck my brother.. Thanks..
Thanks
 
Trust nobody except you but study everybody daily including your new beautiful wife.
Bitter truth. Kiumbe ambaye hatakuangusha ni Mungu tu. Weka mikakati ya kumfanya awe kiongozi wako mkuu.

wewe ni kichwa cha familia (biologically true). simamia vizuri familia yako, nyumba yako iwe ndio mahali penye furaha kuliko mahala popote kwa kushirikiana na mwenzako.

Ahsante kwa ushauri wako nitauzingatia mkuu
 
Nakutakia ndoa njema mkuu ila utakayo yaona uko utajiuliza ni kwanini nimeoa haraka
 
hongera sana, mungu akutangulie na huyo shemej ye2 amtangulie. Mana mda mwngne hv viumbe utaskia vinakuja humu vinaomba ushaur vimepgwa mimba na ma ex wao wakat vipo ndani ya ndoa. Huwa vinakera sana na uchafu wao ila naktakia kila la kher
 
"Chemichemi zako zibarikiwe nawe mfurahie mke uliemwoa ungali kijana, ni Ayala apendezae na paa avumae. Maji yake yakutoshe siku zote."

Mapenzi yanahitaji weledi, tafuta weledi. Soma kitabu kinachoitwa" BIKIRA YANGU "kilichoandikwa na Privatus Karugendo kitakusaidia.
 
Ndoa ni upendo..
Uvumilivu ..Muweke Mungu na familia yako mbele..jitahidini sana kukaa mbali na ndugu.
 
Hakikisha unaemuoa hujafanya nae mapenzi kabisa.Hii ndio kanuni ya ndoa itakayodumu.
 
Natamani uzione tu huko ni gza totoro ni utata mtupu cjui nomeingiaje hapa mwenzio nna ucngz ugomvi toka saa22 mpaka saa04 ucoe pls
 
Trust nobody except you but study everybody daily including your new beautiful wife.
Bitter truth. Kiumbe ambaye hatakuangusha ni Mungu tu. Weka mikakati ya kumfanya awe kiongozi wako mkuu.

wewe ni kichwa cha familia (biologically true). simamia vizuri familia yako, nyumba yako iwe ndio mahali penye furaha kuliko mahala popote kwa kushirikiana na mwenzako.

Bahati mbaya kitufe cha like kipo kimoja tu
 
Januari 8 naingia katika ndoa panapo majaliwa nataka ushauri pamoja na nasaha.

Hongera sana kaka kwanza muheshimu mkeo pili kubaki njia kuu ndo mpango mzima ukichepuka tu. Utaona ndoa chungu.
Nategemea kadi Ya mwaliko Wa harusi yako ili nije nikushaur vizur.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom