Kesi ya Jerry Muro imekwisha. Mengi yamesemwa juu ya kesi yake. Wapo waliosema alibambikizwa na wengine wakasema tuhuma zilizokuwa zikimkabili ni za kweli.
Kwa wanaofahamu sheria, kesi ikishafika katika rulling, na ikabainika kuwa kuna kesi ya kujibu huo ni uthibitisho wa awali kuwa kesi hiyo si ya kupikwa. Maana upande wa mashtaka umeweza kuthibitisha kosa na kinachobaki ni upande wa utetezi kuandaa utetezi utakaotia dosari hoja za mashtaka. Hata kama tuhuma ni za kweli, mawakili wa Muro wanastahili pongezi kwa kuweza kutia dosari katika hoja za mashtaka.
Tuachane na hayo: Jamani naomba mwenye nakala ya kesi ya hukumu hiyo atuwekee jamvini ili tuweze kuona mahakama ilimuachia kwa vigezo gani!!!!
Kwa wanaofahamu sheria, kesi ikishafika katika rulling, na ikabainika kuwa kuna kesi ya kujibu huo ni uthibitisho wa awali kuwa kesi hiyo si ya kupikwa. Maana upande wa mashtaka umeweza kuthibitisha kosa na kinachobaki ni upande wa utetezi kuandaa utetezi utakaotia dosari hoja za mashtaka. Hata kama tuhuma ni za kweli, mawakili wa Muro wanastahili pongezi kwa kuweza kutia dosari katika hoja za mashtaka.
Tuachane na hayo: Jamani naomba mwenye nakala ya kesi ya hukumu hiyo atuwekee jamvini ili tuweze kuona mahakama ilimuachia kwa vigezo gani!!!!