Nakala ya hukumu ya JERRY MURO na wenzake

KAUMZA

JF-Expert Member
Aug 31, 2010
699
237
Kesi ya Jerry Muro imekwisha. Mengi yamesemwa juu ya kesi yake. Wapo waliosema alibambikizwa na wengine wakasema tuhuma zilizokuwa zikimkabili ni za kweli.
Kwa wanaofahamu sheria, kesi ikishafika katika rulling, na ikabainika kuwa kuna kesi ya kujibu huo ni uthibitisho wa awali kuwa kesi hiyo si ya kupikwa. Maana upande wa mashtaka umeweza kuthibitisha kosa na kinachobaki ni upande wa utetezi kuandaa utetezi utakaotia dosari hoja za mashtaka. Hata kama tuhuma ni za kweli, mawakili wa Muro wanastahili pongezi kwa kuweza kutia dosari katika hoja za mashtaka.

Tuachane na hayo: Jamani naomba mwenye nakala ya kesi ya hukumu hiyo atuwekee jamvini ili tuweze kuona mahakama ilimuachia kwa vigezo gani!!!!
 
kesi ya jerry muro imekwisha. Mengi yamesemwa juu ya kesi yake. Wapo waliosema alibambikizwa na wengine wakasema tuhuma zilizokuwa zikimkabili ni za kweli.
Kwa wanaofahamu sheria, kesi ikishafika katika rulling, na ikabainika kuwa kuna kesi ya kujibu huo ni uthibitisho wa awali kuwa kesi hiyo si ya kupikwa. Maana upande wa mashtaka umeweza kuthibitisha kosa na kinachobaki ni upande wa utetezi kuandaa utetezi utakaotia dosari hoja za mashtaka. Hata kama tuhuma ni za kweli, mawakili wa














muro wanastahili pongezi kwa kuweza kutia dosari katika hoja za mashtaka.

Tuachane na hayo: Jamani naomba mwenye nakala ya kesi ya hukumu hiyo atuwekee jamvini ili tuweze kuona mahakama ilimuachia kwa vigezo gani!!!!

mkuu mambo mengine siyo ya kukuza sana!!!!ebu tufikiri kisawasawa!!nenda kwake yeye atakupa nakala,alafu wewe uje uiweke humu tudiscuss!!!!!acheni kufikiri kimasaburi!!!
 
mkuu mambo mengine siyo ya kukuza sana!!!!ebu tufikiri kisawasawa!!nenda kwake yeye atakupa nakala,alafu wewe uje uiweke humu tudiscuss!!!!!acheni kufikiri kimasaburi!!!

Si kila mtu anaishi Dar, na hata kama ningekuwa Dar si kila mtu anapafahamu kwa muro. Na hata kama kwake panafahamika, si kili mtu ana-access ya kufika kwake na kupewa.

Mwenye nakala hiyo ya hukumu, kwa niaba ya wote wanaohitaji, tunaomba atuwekee
 
Back
Top Bottom