Kwa nini aendelee kuwa kwenye dampo la CCM,sasa hivi mshaanza kufanya dili na matunda sumu amabayo tunaka kuyaanagamiza.Kwa sababu nyie ni dampo mna kemikali za kusafisaha ili myale,lakini hayatafaa kwa nchi yetu tukufu.Hatutaki turudi nyuma ,daima mbele,CCM hoyee.