Daa hasira bana,nilichukizana na mpemzi wangu nikijua hatitaweza kuwa wapenzi,na kwa hasira nilimblock kwenye Fb na mitandao mingine,baada ya mda mfupi tuli-compromise na tukawa wapenzi tenaIle nataka kumu-unblock si nimeshindwa,Je unauzoefu nimunblok.
Nisaidie