Najutaaa kuonekana wa kishua

Najutaaa kuonekana wa kishua

Chemwali

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2011
Posts
397
Reaction score
178
Jamani mwenzenu hapa napokaa nina kama abt a year sasa...life yangu nikitoka job ni mimi na my family au mitoko tu ya nje..neighbour ni habari mzuri baasi....sasa kuna dada anafanya kampuni fulani..mkubwa kidogo kwangu..tho hana mtoto(nadhani mambo yalikataa maskini) kuna siku alinikuta namsindikiza rafiki yangu akatujoin abit nadhani aliienjy my company..frm there naona kama anawish tuwe marafiki kiaina mara tuanze Gym mara anielekeze mikate mitamu inauzwa wapi twende tukitoka kazini...mi nahisi kama not my type..yeye hana majukumu,na anaonekana spender....Namkwepajeeeeeeeeee asijisikie vibaya
 
Sasa inahusu nini?wewe muhaya?yani miafrika bwana sasa yeye kuonyesha anakupenda wewe unakuja kumsanua huku je nayeye kama yumo humu?undhani atakuwa anajisikiaje?acha ushamba au nia yako nikutuambia umepanga aptmnt?nimekuona wa hovyo hovyo!wewe unaweza ukaadithia utupu wa girlfriend wako!
 
Mpeni jibu aliyeomba advice,mimi nilikosa la kumpa nikaleta umsaidie kama huna usijibu..then JF bwana kuna mada hazinaga kichwa wala miguu sijui Kisimi sijui bla bla itajibiwa comment 300 tena wale wale ambao wanajifanya mada hii ooh ooh..while kkwenye mada za utupu kama mwanafunzi wa sekondary yumo mstari wa mbeleee
 
wewe ni mtu wa aina gani unaekataa marafiki hasa majirani zako
 
ahaaaaa wewe nawewe vipi??
 
Sasa inahusu nini?wewe muhaya?yani miafrika bwana sasa yeye kuonyesha anakupenda wewe unakuja kumsanua huku je nayeye kama yumo humu?undhani atakuwa anajisikiaje?acha ushamba au nia yako nikutuambia umepanga aptmnt?nimekuona wa hovyo hovyo!wewe unaweza ukaadithia utupu wa girlfriend wako!


mtajuaje nayeye kama kapata g/friend lol.
 
Watu wengine wambea kama nini, hili c jambo la kuleta hapa jukwaani. Huyu kama ana mke inaonekana siri zote za faragha huwa anazitoa nje.
 
sasa inahusu nini?wewe muhaya?yani miafrika bwana sasa yeye kuonyesha anakupenda wewe unakuja kumsanua huku je nayeye kama yumo humu?undhani atakuwa anajisikiaje?acha ushamba au nia yako nikutuambia umepanga aptmnt?nimekuona wa hovyo hovyo!wewe unaweza ukaadithia utupu wa girlfriend wako!
hapo juu umemaanisha nini,INA MAANA WAHAYA NI WATU HOVYO NAMNA HIYO
 
watu wengine wambea kama nini, hili c jambo la kuleta hapa jukwaani. Huyu kama ana mke inaonekana siri zote za faragha huwa anazitoa nje.
unafikiri huyo ni mwanaume kweli?????????????pole yao walioolewa na watoto wakiumeeeee
 
....we sema hana viwango unavyotaka in terms of body morphology.. (color, coursework, tabasamu, nywele, saa saba kasoro robo, mguu wa bia)..ukisingizia umri unatudanganya..ajira anayo, mkwanja upo...nenda mkapime umpe huduma stahiki..."ufunguo ni kwa ajili ya kitasa na si vinginevyo" :laser:
 
Back
Top Bottom