Najuta tamaa mbaya

Mwambie gegedo lako la sasa kuwa huwezi endelea kuwa kwenye uhusiano naye sababu mpe hiyo ya hayo maongezi na dada yake.Mwambie haya "huna mpango wa kuoa karibuni sababu una mambo inabidi uyatimize hvyo kulingana na maongezi ya dada yake anaonyesha kutaka muwe kwenye mahusino ambayo yana uhakika wa ndoa wakati wewe hupo tayari kwa hilo kwa kipindi cha karibuni"

Wakati huohuo huku kwa huyo anayekuja field (kweli dada zetu wajasiri,hapo kaaga kwao anenda filed Jumbe yupo kwa bf),aanza kutengeneza mazingira ya fitna,mwambie kuwa mdogo wa mama mwenye nyumba a nakutaka na anakusumbua wakati wewe humtaki.Hii itakusaidia gf wako kutoshtuka endapo itatokea dada na mdogo wake watampa umbea pindi atakapokuwa anakaa kwako.
 
Wakati huohuo huku kwa huyo anayekuja field (kweli dada zetu wajasiri,hapo kaaga kwao anenda filed Jumbe yupo kwa bf),

kuna mwingine huwa anatoka SAUT anakuja daslama field kumbe kwa mupenzi

akiondoka huyu kaka anatembea na mama mtu mzima na mmaza kazaa siku si nyingi
mtoto ni wa huyo kaka ila bidada anajua huyo mama ni shangazi wa BF wake NGASOKA....
 

dah! Ulivyoshuka mkuu! Kuna watu mko full gwanda nimeamini!
 

Manunuzi umefanya mwenyewe, bili inakushinda? au sio.
 
wee utatongozaje mtoto wa mpangaji aisee. ngoja mkeo aje ayakute ndio utapata akili. ni bora ung'wenye mbali kuliko mumo humo.
 
kuna mwingine huwa anatoka SAUT anakuja daslama field kumbe kwa mupenzi

akiondoka huyu kaka anatembea na mama mtu mzima na mmaza kazaa siku si nyingi
mtoto ni wa huyo kaka ila bidada anajua huyo mama ni shangazi wa BF wake NGASOKA....

duh! Kumbe nawe umo kwa kuwa na nyaraka za watu kama warumi
 
Last edited by a moderator:
Baki njia kuu michepuko sio dili umeona madhara ya michepuko.
 
dah! Ulivyoshuka mkuu! Kuna watu mko full gwanda nimeamini!

Hahahahahaa experience makes it perfect.Tumesharudi njia kuu kwahiyo tunabaki kuwa consultants wa hawa wenzetu ambao bado wanahangaika na michepuko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…