Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,529
Hii Benki imekuwa na usumbufu wa hovyo kabisa.
Kwanza Mtandao wao muda ambapo upo Off ni mwingi kuliko unapokuwa ON. Yaani asubuhi hii nimetembelea ATM machines zao katika maeneo mawili tofauti kote hazifanyi kazi yaani ilipo Benki yenyewe hamna, na hili ni mfululizo tu wa kutopatikana kwa huduma zao na si kwamba bahati Mbaya maana ni kitu ambacho kimeota mizizi, imejirudia mara nyingi mno mpaka kero.
Na wakati mwingine ukiingia ndani ya benki ili uhudumiwe watumishi wao wana nyodo sana. Majibu mabovu pia wanawahudumia vizuri wawajuao tu.
CRDB ni Benki ya hovyo kwasasa hata kuizidi NMB. Mapema sana nitajiondoa kwenye huduma zao wasipojirekesha.
Najua mpo humu, UJUMBE umewafikia.
Kwanza Mtandao wao muda ambapo upo Off ni mwingi kuliko unapokuwa ON. Yaani asubuhi hii nimetembelea ATM machines zao katika maeneo mawili tofauti kote hazifanyi kazi yaani ilipo Benki yenyewe hamna, na hili ni mfululizo tu wa kutopatikana kwa huduma zao na si kwamba bahati Mbaya maana ni kitu ambacho kimeota mizizi, imejirudia mara nyingi mno mpaka kero.
Na wakati mwingine ukiingia ndani ya benki ili uhudumiwe watumishi wao wana nyodo sana. Majibu mabovu pia wanawahudumia vizuri wawajuao tu.
CRDB ni Benki ya hovyo kwasasa hata kuizidi NMB. Mapema sana nitajiondoa kwenye huduma zao wasipojirekesha.
Najua mpo humu, UJUMBE umewafikia.