Najuta kuufahamu mchepuko huu

laplusbelle15;Jamani nyie Wanaume! Mke kuumwa kidogo tuu tayar ticket ya kuchepuka

Tena mkewe kajazia! source;nitonye

Kile kitu cha kati kisikie kwenye masikio, hivi jiulize nguvu waliyonayo wanawake wanaitoa wapi kama sio hicho cha katikati
 
Duh!,una Moyo Wa Ajabu Kweli!,vp Ulipogundua Uliendelea Na Kazi Ama Ulisitisha Zoezi...
 
We mamsap wako akiwa hayuko vizuri kidogo tu unachepuka?? Makubwa.... akipata bedrest ya miezi si ndo utaoa kabisa??
 
Kwa nini uchepuke?
tulia na mke wako, ndoa iheshimiwe na watu wote
 
Mchepuko wa fastafasta hivyo ndo unapiga kavu
 
Jiheshimu, jidhamini tulia na mkeo acha kuleta mikosi za karo nyumbani its not fair for your wife and Kidd's think twice and do changes now I mean from this moment unasoma hii sentensi na Mungu akusaidie
 
Pole mzee mwenzangu nitonye maana haya wengi yanatukuta. kuna jamaa yangu mmoja angefurahi sana kama angekutana naye huyo... mchepuko nooooma!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…