Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 7,593
- 23,207
Sasa mimi nilkuwa sijui hayo mambo,nilkuwa nimeshakalili hz tv za chogo,nilihangaika sana,siku ya kwanza nilishindwa kabisa mpaka nilipokiona hcho kiwaya ndo nikashtukaNyingi ziko hivo. Kuna kijiwaya fln kwa mbele ni earphone jack af kwa nyuma kinatoa red na yellow nadhan ndo unaweka kwenye subwoofer
