Najuta kumsaidia rafiki yangu huyu

Hyo fursa km bdo ipo si unipe mm mkuu,
Yaani ujinga wote huo wa kudandia mademu wa watu kumbe hata kazi hauna

Na kwa akili zako za kipuuzi hata kujiajiri umeshindwa . Umegeuka kuwa mchonganishi wa mapenzi ya watu na hata akili za kuchonganisha mapenzi bado hauna maana penzi bado tamu nadunda nalo.


Ndugu mtoa mada huyu kijana ni mshenzi sana usije ukajiroga
 
Yaani ujinga wote huo wa kudandia mademu wa watu kumbe hata kazi hauna

Na kwa akili zako za kipuuzi hata kujiajiri umeshindwa . Umegeuka kuwa mchonganishi wa mapenzi ya watu na hata akili za kuchonganisha mapenzi bado hauna maana penzi bado tamu nadunda nalo.


Ndugu mtoa mada huyu kijana ni mshenzi sana usije ukajiroga
Ume zungumza kwa uchungu Sana 😂😀, halafu mi mwenyewe ni jobless tu.
👉So ningeomba kidhi vigezo ninge enda😀
 
Tukuulize wewe,

Hivi unachojutia haswa ni kipi? Kujuta unajua maana yake? Disappointment ni jambo la kawaida.

Kampuni ita-extend muda wa kutafuta mfanyakazi. Wapo wengi sana mtaani.

Jamaa yako hata angetuma CV na makorokocho yote, pengine angeharibu mbeleni. Na lawama pamoja na gharama zikakuangukia wewe.

There is nothing to regret. Vinginevyo ulikuwa na percent yako, imekupita kando.
Unaelewa tafsiri ya Kutoaminiwa na watu wako wanaokuheshimu? Ndicho ninachokiona kwa huyu muanzisha uzi na bwana Y. Iko hivi, ukiona huwezi kufanya kitu, mtaarifu anaekufanyia mpango wa jambo hilo ili kuepuka dhahama zisizoelezeka huko mbele.


Inatuchukuaga muda mrefu sana kuitengeneza imani na heshima kwa watu.
 
Mimi jobless,naombaga Mungu Sana mtu anishike mkono tu,bado sijapata huyu mtu ni waajabu Sana Mungu Msaidie ajielewe
 
Ume zungumza kwa uchungu Sana , halafu mi mwenyewe ni jobless tu.
So ningeomba kidhi vigezo ninge enda
Ni vile sitaki yakukute makubwa vijana wa humu wengi wao ni wa hovyo sana. Sio kwamba nawakandia na kuwachukia hapana hawa madogo sio. Niliwafanyia wema wa kuwapa story ya ukweli ili nifurahishe genge hawa wajinga ndio wakaitumia kama fimbo ya kunichapia bila kosa lolote lile
 
Ni vile sitaki yakukute makubwa vijana wa humu wengi wao ni wa hovyo sana. Sio kwamba nawakandia na kuwachukia hapana hawa madogo sio. Niliwafanyia wema wa kuwapa story ya ukweli ili nifurahishe genge hawa wajinga ndio wakaitumia kama fimbo ya kunichapia bila kosa lolote lile
Wali kufanyaje Tena mkuu😀🤣
 
Daaah! Nimemkumbuka jamaa mmoja,tumemdhamini kazi ya udereva wa Lori kampuni nzuri sana....
Akafanyiwa test akapita vizuri...
Trip ya kwanza kapaki gari Mikumi...anakula pombe mpaka baadae...
Simu hapokei...
Gari gps inasoma yupo mikumi...2days
Watu wakamfuata jamaa akawatukana matusi yote..🤨🤨🤨...
Balaaa kubwa mpaka kupata msaada polisi.
Mwishoni kampuni inatulaumu tumewaletea kichaaa....
AISEE NIMEKOMA,KILA MTU AFE KIVYAKE.
 
Daaah! Nimemkumbuka jamaa mmoja,tumemdhamini kazi ya udereva wa Lori kampuni nzuri sana....
Akafanyiwa test akapita vizuri...
Trip ya kwanza kapaki gari Mikumi...anakula pombe mpaka baadae...
Simu hapokei...
Gari gps inasoma yupo mikumi...2days
Watu wakamfuata jamaa akawatukana matusi yote..🤨🤨🤨...
Balaaa kubwa mpaka kupata msaada polisi.
Mwishoni kampuni inatulaumu tumewaletea kichaaa....
AISEE NIMEKOMA,KILA MTU AFE KIVYAKE.
Sijui Wana kuwa wame rogwa aisee😀
 
Huyo hafai kwa lolote due kama alishindwa hata kuomba radhi na anakuja na vijisababu ambayo vingeweza kutatuliwa ni kama bdo hukuwa na uhitaji wa hyo kazi na hata angepata Kuna namna angejasumbua
Ni kweli mkuu, na tume kata mawasiliano naye.
 
Back
Top Bottom