miles45
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,469
- 8,294
Yaani ujinga wote huo wa kudandia mademu wa watu kumbe hata kazi haunaHyo fursa km bdo ipo si unipe mm mkuu,
Na kwa akili zako za kipuuzi hata kujiajiri umeshindwa . Umegeuka kuwa mchonganishi wa mapenzi ya watu na hata akili za kuchonganisha mapenzi bado hauna maana penzi bado tamu nadunda nalo.
Ndugu mtoa mada huyu kijana ni mshenzi sana usije ukajiroga