Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,302
- 96,517
M out sasa was reminding you wadogo zako unawasahau mpaka tukukutemo!!!!!
Hahahah mdogo mdogo. lol
M out sasa was reminding you wadogo zako unawasahau mpaka tukukutemo!!!!!
Mi sijui bhana! !!!
Bora wewe yanaishia mdomoni wenzio wanatembea na pads kabisa maana sio salivation ni irrigation!!!!!
Halafu kwa nini unachanganya weakness na strength!!!!!!
hayajakukuta wewe.
Ukiona demu wako anatongozwa jisifie sana either ni mkarimu or ni mrembo sana,hongera sana
Na akiwa anaconfirm kila tongozo niendelee kujisifu tu?
Demu wangu hakuwa hata anajua kama duniani kuna jukwaa la JF,
Nikamshawishi ajiunge na akajiunga, tokea ajiunge wanajukwaa wengi wa kiume wamekuwa wakimsumbua sana kwa pm, wakipiga mistari,
Wengine wamefikia hatua hadi ya kumtumia namba za simu, nikitembelea profile yake nakuta vistors kibao wa kiume.
Kama mnavyojua miluzi mingi humpoteza mbwa, ninahofu anaweza nipotea kwa mtindo huu, kinachonitisha zaidi niliamua kutengeneza ID asiyoijua nami nikaanza kumtongoza, kanitumia namba yake na ninachat naye sana na ameshaonesha dalili zote za kunikubali, mtihani ni kuonana naye, naogopa kuweka appointment halafu kweli atokee, nitazimia.
Ndiyo kwa vile atakua ni mkarimu.
heee heeee.chezea jf ku flirt kwa wingi humu.ila mimi siamini kabisa mapenzi ya mitandaoni.akikutongoza mmoja ujue hauko peke yako.ni addiction tu kwa hao wanaume wanataka kuonja basi.ni wachache mno wenye nia ya kweli.huyo girlfriend na yeye ameshanogewa,maybe hiyo attention anayoipata humu,huko mitaani hapati.si unajua wengine wanapenda avatar au michango yako ndi inayomvutia,akikuona live hana hamu na wewe
Mkuu mbona umeniibia swali langu??? Nataka nijue kama nimeshamkagua then ntakuachia huyo jamvi la wageni.
Aisee, mpaka huwa wale vijana wa moro pale nawaambiaga wantaftie dawa ya kupunguza matamanio!!
I loooove beautiful women! Nikiona mwanamke mzuri kavaa kapendeza roho inafurahigi sana!
Na nikiona demu mzuri ana shida naona kama nisipomsaidia nafanya zambi kubwa sana. tatizo ni mpaka nimwone mzuri!
heee heeee.chezea jf ku flirt kwa wingi humu.ila mimi siamini kabisa mapenzi ya mitandaoni.akikutongoza mmoja ujue hauko peke yako.ni addiction tu kwa hao wanaume wanataka kuonja basi.ni wachache mno wenye nia ya kweli.huyo girlfriend na yeye ameshanogewa,maybe hiyo attention anayoipata humu,huko mitaani hapati.si unajua wengine wanapenda avatar au michango yako ndi inayomvutia,akikuona live hana hamu na wewe