Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
andamana ukadai haki yako acha kulalamika!!
kwani wewe uko peke yako hapa Tanzania? kwani ilishinda kwa moja? acha kujidanganya.
hata isinge piga ingeshinda
Huna lolote, hebu ondoa ujinga wako hapa. Kwani nani alikutuma kuwapigia kura. Mbona hukututangazia mwanzo. 2015 utapewa tena t-shirt urudie yale yale! Kwenda huko!