zile taka tulizokusanya bado zipo tele hazijazolewa.naapa sitashiriki hili zoezi tena ni ujinga
zile taka tulizokusanya bado zipo tele hazijazolewa.naapa sitashiriki hili zoezi tena ni ujinga
Wewe huna akili, sasa ulivyokunya ulitegemea nani azoe??
zile taka tulizokusanya bado zipo tele hazijazolewa.naapa sitashiriki hili zoezi tena ni ujinga
Mkuu uliwasiliana na wahusika?
Kwani suala la kufanya usafi halihusishi kuzoa na kubeba taka kwenda kuzitupa?
we unafikiri dar ni kama huko kijijini kwenu mnatupa taka mashambani?kutoka magomeni taka zinapelekwa pugu km kama 30.sasa ulitaka niende km 30 kwa miguu?[/QUOTE
Hawa wanaishi sigimbi sasa wanaleta mazingira ya huko dar!! Sio kosa lao mkuu
Mjinga utakuwa wewe mkuu.Jana tumepiga kazi tukiambiwa kuwa jiji watakuja kubeba lakini sasa zimeanza kuoza na kukusanya nzi.
Wewe huna akili, sasa ulivyokunya ulitegemea nani azoe??