Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,505
- 51,111
Kiongozi umeona mbali sana!
Hawa wanaonunuliwa kwa vipande vya fedha, dhamira zao zitawasuta na wameingiza katika familia zao roho za usaliti na kununuliwa!
Kitu wasichokujua ni kwamba, wataendelea mamlaka za vetting kamwe hazitowarecommend kupata nyadhifa za juu zaidi kwa sababu mafaili yao yana taarifa za kununuliwa, ikiwemo kununuliwa shilingi ngapi, wapi na tarehe gani!. Swali la kuwakataa litakuwa simple tu, Kama huyu kanunuliwa kwa milioni kadhaa asaliti dhamana yake, Je tukimpa dhamana fulani kisha wakaja wakora wa kimataifa na dau fulani kubwa si atauza nchi huyu?. Watamuweka pembeni!
Hawa wanaonunuliwa kwa vipande vya fedha, dhamira zao zitawasuta na wameingiza katika familia zao roho za usaliti na kununuliwa!
Kitu wasichokujua ni kwamba, wataendelea mamlaka za vetting kamwe hazitowarecommend kupata nyadhifa za juu zaidi kwa sababu mafaili yao yana taarifa za kununuliwa, ikiwemo kununuliwa shilingi ngapi, wapi na tarehe gani!. Swali la kuwakataa litakuwa simple tu, Kama huyu kanunuliwa kwa milioni kadhaa asaliti dhamana yake, Je tukimpa dhamana fulani kisha wakaja wakora wa kimataifa na dau fulani kubwa si atauza nchi huyu?. Watamuweka pembeni!