Najiuliza tu hivi hawa wanaohamia ikifika 2020 watapita kwenye kura za maoni kweli

Awapi....kuna wafia chama wana hasira kweli kweli...


Afu 2020 itakua kila mtu on his on way yanii kila mtu kivyake huyo pombe mwenyewe atakua anahaha kutaka kuchagyliwa tena unadhani atakua na muda wa kukakikisha wafia chama hawawahujumu hawa kondoo waliokatwa mikia??
Hao wafia chama hawana sauti wala haki wao waendelee kusugua benchi tu.Chama si mali ya wanachama ,mmiliki binafsi ndo mwenye hatimiliki nani arudi nani asirudi.Watakaorudi ni wenye chapa ya 666 tu wengine wakatafute Kazi ingine, Hao wakatwa mikia ni muhimu kupitisha ajenda ya Miaka 7 kule kilingeni kama mitaji ya ndiooo!!?
 
Nahisi 2020 wataliwa kama pumba maana hata kule watokako watakuwa hawatakiwi na wanako kimbilia watakuwa wamemaliza kuwatumia kama kawaida ya MALAYA akisha vuliwa chupi basi mwanaume anafunga zipu anaondoka zake baada ya kumaliza shughuli yake.
Sidhani,kijani hawahitaji box kushinda, box ni kiini macho cha kuwahadaa wazungu wasiwanyime misaada.Kijani wanategemea mtutu na Figisu Figisu,we uoni hata asilimia zao za ushindi upungua kila zipigwapo kura.
 
Mkuu kweli hiki ndo kitu huwa nakifikiria na mm ina maana wenyewe hawana hizo fikra au wamewekeana mkataba kwamba ikifika na 2020 watasimamishwa wao ..????
Hili likitokea ni kwa wachache sana, tuombe uzima tu
 
Hao washapangiwa tayari wanayajua majimbo yao tayari hata mtatiro tayari atakuwa anajua yeye ni mbunge wa wapi ni mda tu ufike awe wazi.Hao hawategemei sanduku la kura aisee, hicho ni kiini macho.Hata wao wanajua sanduku likiwa tupu hata umonita wa darasa hawapati SAA NNE mapema. Walichofanya ni kudisturb mfumo wa kura ili wananchi wakate tamaa,wasijitokeze kama itakavo kuwa 2020 idadi ndogo ya wapiga kura ili iwe rahisi kutembea kwa bao. Watendaji wote washaambiwa ni marufuku kumtangaza mtoto wa kambo hivo nao wanaogopa.
unafikir hawakuwaza hayo? Sidhani Kama Kuna mbunge angefanya ujinga wa kuhama chama, halafu 2020 asirudi mjengoni.Maana Hakuna ambacho angekuwa amekifanya, ni bora angebakia huko huko chadema..

Pia kumbuka ccm ni chama tawala hata asipo rudi bungeni.. Kuna teuzi nyingi saana
 
Hao washapangiwa tayari wanayajua majimbo yao tayari hata mtatiro tayari atakuwa anajua yeye ni mbunge wa wapi ni mda tu ufike awe wazi.Hao hawategemei sanduku la kura aisee, hicho ni kiini macho.Hata wao wanajua sanduku likiwa tupu hata umonita wa darasa hawapati SAA NNE mapema. Walichofanya ni kudisturb mfumo wa kura ili wananchi wakate tamaa,wasijitokeze kama itakavo kuwa 2020 idadi ndogo ya wapiga kura ili iwe rahisi kutembea kwa bao. Watendaji wote washaambiwa ni marufuku kumtangaza mtoto wa kambo hivo nao wanaogopa.
Uko sahihi mkuu, ila nawashangaa wachangiaji humu jamvini hawalijui na kulifikiria hilo.
 
Hao wafia chama hawana sauti wala haki wao waendelee kusugua benchi tu.Chama si mali ya wanachama ,mmiliki binafsi ndo mwenye hatimiliki nani arudi nani asirudi.Watakaorudi ni wenye chapa ya 666 tu wengine wakatafute Kazi ingine, Hao wakatwa mikia ni muhimu kupitisha ajenda ya Miaka 7 kule kilingeni kama mitaji ya ndiooo!!?
Wewe ndo umeelewa kinacho endelea,
 
unafikir hawakuwaza hayo? Sidhani Kama Kuna mbunge angefanya ujinga wa kuhama chama, halafu 2020 asirudi mjengoni.Maana Hakuna ambacho angekuwa amekifanya, ni bora angebakia huko huko chadema..

Pia kumbuka ccm ni chama tawala hata asipo rudi bungeni.. Kuna teuzi nyingi saana
Mkuu kwa mtazamo wangu hata wangebaki upinzani kuupata ubunge 2020 itakuwa shida sana.
Hapa naona wana bet tu kuwa huenda wakapita hiyo 2020 lkn kwa fikira zangu naona ni wachacha sana maana kuna wanaccm ambao wamejipanga kwa mda mrefu kwenye majimbo.
Ikiwa hawa wote watapitishwa basi kutakuwa na mgawanyiko mkubwa sana ndani ha CCM.
Pia kama kuna pesa wanapokea kipindi hiki wanacho hama basi hii ndio faidi wanayo ipata maana ubunge unarudi
 
《Mkuu Unajua Maana ya mvuvi Kumuwekea Chambo Samaki kwenye Ndoano??》

Hivyo ndivyo ilivyo kwa Hawa wahamaji huwa wanadanganywa ili akina Polepole wazinyake Saini zao lakini Wafia Chama wapo na Wanawalia Timing vizuri tu.

2020++ wana Uhakika Gani wa Hizo teuzi wakati Pombe mwenyewe anaweza Asirudi Magogoni??
Labda aamue yeye,hakuna mwenye nguvu ya kumzidi mfalme nchi na chama ni Mali binafsi ya mfalme mkuu,sababu ya katiba waliyoiandaa wenyewe,ikiwa kama ni malipo yao ya haki walipoona watakuwa Salama walipokuwa kwenye system. Walipanda miba njiani walidhani itachoma Jirani tu.Leo lowasa anatamani angekuwa kwenye system arekebishe katiba, Lkn amechelewa nafasi hio haipo hivo watulie tu wavune walichokipanda wao ndo waliokuwa na nafasi ya kufanya mabadiliko ila walijiona watakuwa Salama siku zote,katiba ile ile waliyofumbia macho walipokuwa kwenye system kuwa haiwahusu Leo ndo inawasulubu.
 
Kwanza huo uchaguzi utakuwepo? Swali la kujiuliza akisema hakuna hela za uchaguzi hatuwezi chezea hela wakati anataka kuleta maendeleo, uchaguzi unaweza usiwepo au kuhairishwa kwa kigezo cha hakuna hela za uchaguzi hali majimbo ya upinzani yakaendelea kuchukuliwa kwa kigezo cha kuunga mkono.
Mkuu kwa mtazamo wangu hata wangebaki upinzani kuupata ubunge 2020 itakuwa shida sana.
Hapa naona wana bet tu kuwa huenda wakapita hiyo 2020 lkn kwa fikira zangu naona ni wachacha sana maana kuna wanaccm ambao wamejipanga kwa mda mrefu kwenye majimbo.
Ikiwa hawa wote watapitishwa basi kutakuwa na mgawanyiko mkubwa sana ndani ha CCM.
Pia kama kuna pesa wanapokea kipindi hiki wanacho hama basi hii ndio faidi wanayo ipata maana ubunge unarudi
 
Mkuu kwa mtazamo wangu hata wangebaki upinzani kuupata ubunge 2020 itakuwa shida sana.
Hapa naona wana bet tu kuwa huenda wakapita hiyo 2020 lkn kwa fikira zangu naona ni wachacha sana maana kuna wanaccm ambao wamejipanga kwa mda mrefu kwenye majimbo.
Ikiwa hawa wote watapitishwa basi kutakuwa na mgawanyiko mkubwa sana ndani ha CCM.
Pia kama kuna pesa wanapokea kipindi hiki wanacho hama basi hii ndio faidi wanayo ipata maana ubunge unarudi
Hujui Kama ndani ya CCM mwenye nguvu ni JPM pekee? Kura za maoni zilikuwa enzi zile, sio sasa. Hao wazawa hawafurukuti
 
《Mkuu Unajua Maana ya mvuvi Kumuwekea Chambo Samaki kwenye Ndoano??》

Hivyo ndivyo ilivyo kwa Hawa wahamaji huwa wanadanganywa ili akina Polepole wazinyake Saini zao lakini Wafia Chama wapo na Wanawalia Timing vizuri tu.

2020++ wana Uhakika Gani wa Hizo teuzi wakati Pombe mwenyewe anaweza Asirudi Magogoni??
Hapo chini japo mimi sio Lumumba ila sikubaliani na wewe. Hilo jamaa litatumia hata vifaru vya kijeshi maybe 2025

Tujikite tu kwenye mada mkuu.
 
Imekua desturi ya wanasiasa wetu kutokuheshimu maoni ya wapiga kura wao yaani mwakilishi wa wananchi kwwnda kuwakilisha mawazo yake,.

Sikatai kuhama hama kwa wapinzani lakini najiuliza wamefikiria juu ya lifespan yao ya kisiasa je wasipopitishwa kwenye kura za maoni watakua na mtetezi wa kuwatetea kama ilivyo sasa hiv?

wanasiasa mnaohama vyama huu ni muda wa kujitafakari sasa

INAWEZEKANA moja ya ahadi walizopewa ni kuwa endapo watashindwa kwenye ubunge 2020, basi watateuliwa kwenye nafasi za ukuu wa mikoa au wilaya au cheo chochote kitakachowahakikishia kuendelea kula mema ya nchi.

Kama ni hivyo basi hawa wanaohamia kwa sababu yoyote watakayoamua kuisema, wana miaka 7 ya kula mema ya nchi bila msukosuko wa aina yoyote. Na inaweza kupelekea wengine pia kuhamia hasa wale wasiokuwa na uhakika wa mlo nje ya siasa. Wanaweza kupata hofu zaidi kutokana na figisu zinazoendelea hivyo kuhisi figisu za 2020 hazitakuwa za kawaida pia.

Hofu kubwa zaidi ni hii dhana inayosambazwa kuwa 2020 uchaguzi utakuwa geresha tu na kuwa matokeo yameshapangwa. Hofu kubwa zaidi na kinachooneka a ni kuwa baadhi ya majimbo ya wakongwe wa upinzani (Ya akina Mbowe, Lema, Sugu, Mdee, na wale wapinzani halisi na waliojiaminisha kuwa hakuna wa kushindana nao) kurudisha form tu itashindikana. Hivyo hawa wengine salama yao ni kuhamia tu ili waweze kuendelea kubaki kwenye siasa.

Dalili na matendo ya CCM vinaonyesha wazi kuwa 2021 upinzani unaweza kubaki kwenye mitandao ya jamii tu.

(NIMEREKEBISHA POST - HAYA NI MAONI NA MAWAZO YANGU BINAFSI).
 
Nahisi kuna makubaliano ambayo ni written kabisa ila kama hakuna asilimia kubwa watakatwa na watajutia sana refer toilet paper
 
Natabiri anguko la wapinzani wanaojiunga CCM na kupita bila kupingwa, 2020 to 2025 ndo mwisho wao maana mbeleko itavunjika.

Natabiri kizazi Chao kitaondoka na kuingia kizazi kipya ambacho kwa mabadiliko ya uchumi na tekinologia na kwakuzingatia kuwa watakuwa wanatoka kwenye biashara na ajira katika taasisi mbalimbali basi hawataongwa kirahisi.

Natabiri ujio wa katiba mpya itakayofuta vyeo vya uteuzi kwa watu wasio na vigezo na itakayolazimisha nafasi za juu kupatikana kwa usahili na Mara upatapo nafasi hiyo hakuna kutenguliwa kiolela bila sababu kuwekwa wazi. Hapo ndipo walafi wa madaraka watakapopukutika.

Natabiri njaa Kali kuanzia 2020 kwa viongoz wengi wa CCM na vyama vya upinzani wasiokuwa na kazi za kuwapatia kipato halali maana wengi watatiwa benchi hasa waliojitia kuunga mkono na wale wanaojidai kukosoa juhudi za J.

Natabiri kuporomoka kwa uchumi endapo wawekezaji hawatapewa ulinzi wa mitaji yao, kwasasa kamatakamata imezidi na kujenga hofu kwa kila mtu Mgeni na asiyemgeni.

Natabiri anguko la chama Tawala 2025 endapo kitaendelea kukumbatia mamluki na kulindwa na dola, njaa ikiuma wataanza kutafunana kutoka ndani .

Natabiri kukosekana kwa ajiri kwa kiasi kikubwa endapo atatutashawishi wawekezaji kuingia kwa wingi nchini..EPZ na TIC hakuna waleta mitaji kwa sababu vyombo vya Dolla kuanzia juu hadi chini vinasifiwa kukamata wageni.

Natabiri mfarakano mkubwa wa kisiasa nchini utakaozaa viongozi imara na watakaolivusha Taifa kutoka kwenye umaskini.

Natabiri vuguvugu la CCM wengi kukimbilia upinzani baada ya kuzuiwa kuwa huru na kujieleza kwa wananchi na kuwatetea.

Natabiri wanazuoni wengi wenye PHD kustaafu wakiwa wamepoteza hadhi katika jamaa kwakujipendekeza kwa wanadamu na kuacha elimu zao.

Natabiri Dr.Slaa na Dr. Mkumbo kuwa mawaziri ndani ya serikali ya CCM.

Natabiri Zito, Mbowe, Maalimu, mbatia, Sumaye, Nape kuunganisha nguvu kuupigania upinzani mpya wenye nguvu.

Natabiri ujio wa katiba mpya yenye msingi wa mapambano dhidi ya rushwa, mgawanyiko wa madaraka, inayolinda hadhi ya nchi ikiletwa na J kabla ajaondoka madarakani kwa lengo la kulinda mazuri aliyofanya yasibomolewe na walafi wachache wa madaraka.

Nisaidie kuzijfadhi ndoto zangu kwa siku za usoni.
 
Natabiri ujio wa katiba mpya yenye msingi wa mapambano dhidi ya rushwa, mgawanyiko wa madaraka, inayolinda hadhi ya nchi ikiletwa na J kabla ajaondoka madarakani kwa lengo la kulinda mazuri aliyofanya yasibomolewe na walafi wachache wa madaraka.

Mkuu umeanza kuota ndoto za Kutisha mapema hivi
 
Back
Top Bottom