Jenseny
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 1,743
- 1,731
Imekua desturi ya wanasiasa wetu kutokuheshimu maoni ya wapiga kura wao yaani mwakilishi wa wananchi kwwnda kuwakilisha mawazo yake,.
Sikatai kuhama hama kwa wapinzani lakini najiuliza wamefikiria juu ya lifespan yao ya kisiasa je wasipopitishwa kwenye kura za maoni watakua na mtetezi wa kuwatetea kama ilivyo sasa hiv?
wanasiasa mnaohama vyama huu ni muda wa kujitafakari sasa
Sikatai kuhama hama kwa wapinzani lakini najiuliza wamefikiria juu ya lifespan yao ya kisiasa je wasipopitishwa kwenye kura za maoni watakua na mtetezi wa kuwatetea kama ilivyo sasa hiv?
wanasiasa mnaohama vyama huu ni muda wa kujitafakari sasa