Najitoa... CHADEMA Najiunga... CCM

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,169
Reaction score
48,451
Najitoa Rasmi kwenye kuikosoa CHADEMA hadharani badala yake nitatumia mifumo ya chama kufikisha ujumbe wangu. Sitaki kuwa kama Rafiki yangu Benson Mramba wa Tanga ambaye ameamua kutumia majukwaa ya mitandao ya kijamii kukosoa chama.

Lakini kuanzia leo najiunga Rasmi kwenye kundi la wakosoaji na wapingaji wa sera za CCM na matendo ya chama hicho ambacho ndiyo sababu na chanzo cha kuifanya nchi yetu iwe hivi ilivyo.
 
Heading ya uzi, jamani nimekuja mbio hadi nimesahau kuvaa japo kandambili. hahhahah. huu uzi watu wasipousoma kwa makini watadhani ndivyo sivyo! hahahahahahahah. Sawa mleta uzi. mie nikuelewa kuliko inavyotakiwa kukuelewa
 
Sasa wajadili maudhuhi hau kichwa cha habari?
 
hahahahaha...... ..lovely.
 
Heading ya uzi, jamani nimekuja mbio hadi nimesahau kuvaa japo kandambili. hahhahah. huu uzi watu wasipousoma kwa makini watadhani ndivyo sivyo! hahahahahahahah. Sawa mleta uzi. mie nikuelewa kuliko inavyotakiwa kukuelewa
Duh nimeelewa kwa nini walimu wangu walikuwa wananisisitiza kuhakikisha nasoma swali vizuri na kutafakari kabla ya kujibu. Inatisha kundi kubwa la watu wanashindwa kuelewa ujumbe uliomo ktk mada hii
haswaa na mie niliwaza kama wewe. Si unaona makamanda wanavyomtukana, lakini nimejifunza kitu kuwa watu wakishasoma heading basi anaanza ku comment hawasomi uzi wote swissme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…