gidume
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 743
- 915
Salaam,
Twende direct kwenye point..kwa jinsi nilivyo ni introvert flan hivi ambae sipendi sana kujichanga na watu,sina tabia ya kuchekesha katika story,sio mtu wa kujielezea sana wala wa siwezi kuelezea kitu,,nilichojaaliwa labda utanashati kidogo,usmart na kismart cha kuwa na pesa ambazo mjini naishi vizuri tu..umri ni above 33+
Mwanamke akiwa na mimi ategemee sana niwe namjibu yeye kuliko mimi ntakavyokua naongea...mimi sio muongeaji kabisa...bas napenda mwanamke mwongeaji na awe na hobbies nyingi.
Twende kwenye main issue.
Nimeoa na nna watoto wasiozidi watatu ila huyu mke wangu nilienae sijivunii kwa lolote sbb ana tabia kama zangu..mnaweza mkasafiri kms 200 na private akaongea na wewe maneno manne au matano tu..anaweza amka siku hiyo kanuna tu bas hakieleweki ndani ya nyumba..nimetumia kila njia kufanya furaha ije imeshindikana anaonekana ana matatizo ya akili lkn nikapata soln mbili...kiburi chake huwa nakituliza kwa makofi sbb ana maneno machafu sana..soln namba mbili tabia yake za malezi yake mimi kama mm niliona nifanye mpango wa kuongeza mwanamke ambae sio rasmi (mchepuko mke) hivyo ikanipasa nipate nyumba ingine ya kupanga tofauti kwa ajili ya mwanamke ataekua ananipa furaha.. na kweli nilikua nafarijika sana nikiwa nje ya nyumba yangu,maana nikirudi nyumbani ni kucheza na watoto tu mke anakua either kanuna au anamalalamiko
.
Kuna rafiki yangu kila siku huwa ananihusia na kunilalamikia kwann nimewahi sana kuoa mi jibu langu ni huwa imeshatokea..
Huyu yeye principle yake ni kuita mwanamke anamsex anamlipa na kuachana nae asbhi na atamtafuta kipindi akimhitaji tena kwa malipo..huwa ananishauri sana kutumia hiyo technique huwa namcrush ..lakini anasema bora ufanye hivyo kuliko kujitakia maumivu ya mapenzi na anasemaga live mwanamke anaekupa magonjwa ni mpenzi wako wa kila siku huwa nafeli hayo kiukweli sbb nahisigi nna uhitaji wa sex mara nyingi tofauti na kila nikimtaka mwanamke nimwite nimpe hela alaf tusijuane adi ntapomhitaji tena..
Sasa kilichonikuta adi kunifanya nilete apa mada..
Kumbe yule mwanamke anaenipa furaha na yeye ana mpenzi wake ambae ana malengo nae tofauti na mimi kujua..siku hiyo nimeenda nikakuta yupo na mpenzi wake sikutaka kufanya chochote sbb sikupenda malumbano nikaweka wazi moyoni kuwa mimi na yeye basi..
Sasa ugumu naupata kwenye hili la nyumbani nahisi bila ya kua na mwanamke pembeni anaenipa furaha bas ntakua na maisha magumu sana..
Napata mawazo haya:
1)Nifanye kama nilivyofanya ya mara ya kwanza ila nijiandae kwa lolote ambalo limeshanitokea kabla..(heartbreak)
2)Niingie katika kundi la ushauri wa jamaa wangu kua nikitaka furaha sikuio niitolee pesa nienjoy na mwanamke charming siku nzima na baada ya hapo nimtafute siku ntakapokua radhi kumwaga pesa au kumlipa.( ingawa hawa huwa wana wapenzi wengi sana)
3)Niingie katika ukurasa wa umalaya yani ile playboy sbb hamna kizuri mapenzi yamenifanyia.
Note: Majibu mtayotoa ntakua nayanalize closely ata nisipo quote ila nna diary naorodhesha sehem nachambua kipi cha kufanya..maana naona mwaka huu mapenzi yananiendea lesi sana..
Karibuni tushiriki
Twende direct kwenye point..kwa jinsi nilivyo ni introvert flan hivi ambae sipendi sana kujichanga na watu,sina tabia ya kuchekesha katika story,sio mtu wa kujielezea sana wala wa siwezi kuelezea kitu,,nilichojaaliwa labda utanashati kidogo,usmart na kismart cha kuwa na pesa ambazo mjini naishi vizuri tu..umri ni above 33+
Mwanamke akiwa na mimi ategemee sana niwe namjibu yeye kuliko mimi ntakavyokua naongea...mimi sio muongeaji kabisa...bas napenda mwanamke mwongeaji na awe na hobbies nyingi.
Twende kwenye main issue.
Nimeoa na nna watoto wasiozidi watatu ila huyu mke wangu nilienae sijivunii kwa lolote sbb ana tabia kama zangu..mnaweza mkasafiri kms 200 na private akaongea na wewe maneno manne au matano tu..anaweza amka siku hiyo kanuna tu bas hakieleweki ndani ya nyumba..nimetumia kila njia kufanya furaha ije imeshindikana anaonekana ana matatizo ya akili lkn nikapata soln mbili...kiburi chake huwa nakituliza kwa makofi sbb ana maneno machafu sana..soln namba mbili tabia yake za malezi yake mimi kama mm niliona nifanye mpango wa kuongeza mwanamke ambae sio rasmi (mchepuko mke) hivyo ikanipasa nipate nyumba ingine ya kupanga tofauti kwa ajili ya mwanamke ataekua ananipa furaha.. na kweli nilikua nafarijika sana nikiwa nje ya nyumba yangu,maana nikirudi nyumbani ni kucheza na watoto tu mke anakua either kanuna au anamalalamiko
.Kuna rafiki yangu kila siku huwa ananihusia na kunilalamikia kwann nimewahi sana kuoa mi jibu langu ni huwa imeshatokea..
Huyu yeye principle yake ni kuita mwanamke anamsex anamlipa na kuachana nae asbhi na atamtafuta kipindi akimhitaji tena kwa malipo..huwa ananishauri sana kutumia hiyo technique huwa namcrush ..lakini anasema bora ufanye hivyo kuliko kujitakia maumivu ya mapenzi na anasemaga live mwanamke anaekupa magonjwa ni mpenzi wako wa kila siku huwa nafeli hayo kiukweli sbb nahisigi nna uhitaji wa sex mara nyingi tofauti na kila nikimtaka mwanamke nimwite nimpe hela alaf tusijuane adi ntapomhitaji tena..
Sasa kilichonikuta adi kunifanya nilete apa mada..
Kumbe yule mwanamke anaenipa furaha na yeye ana mpenzi wake ambae ana malengo nae tofauti na mimi kujua..siku hiyo nimeenda nikakuta yupo na mpenzi wake sikutaka kufanya chochote sbb sikupenda malumbano nikaweka wazi moyoni kuwa mimi na yeye basi..
Sasa ugumu naupata kwenye hili la nyumbani nahisi bila ya kua na mwanamke pembeni anaenipa furaha bas ntakua na maisha magumu sana..
Napata mawazo haya:
1)Nifanye kama nilivyofanya ya mara ya kwanza ila nijiandae kwa lolote ambalo limeshanitokea kabla..(heartbreak)
2)Niingie katika kundi la ushauri wa jamaa wangu kua nikitaka furaha sikuio niitolee pesa nienjoy na mwanamke charming siku nzima na baada ya hapo nimtafute siku ntakapokua radhi kumwaga pesa au kumlipa.( ingawa hawa huwa wana wapenzi wengi sana)
3)Niingie katika ukurasa wa umalaya yani ile playboy sbb hamna kizuri mapenzi yamenifanyia.
Note: Majibu mtayotoa ntakua nayanalize closely ata nisipo quote ila nna diary naorodhesha sehem nachambua kipi cha kufanya..maana naona mwaka huu mapenzi yananiendea lesi sana..
Karibuni tushiriki

