Najiona mjinga sana

nadhani umepata fundisho,,,sisi tunaokutongoza mitandaoni unatuona hatuana busara mmmseewww,,,wakat ndo watulivu... endelea kutafuta wapole
 


Umesema amekukula 3 times??
That's negligible haifiki 5 ambayo ni nusu ya mitafuno 10.

Pole mkuu, ukitaka kula lazima ukubali kuliwa, sasa wewe unataka kula bila kuliwa?, Haiwezekani ~by mzee wa Msoga.

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
 
Kama umeliwa basi kakuongezea cv una experience ya kutosha sasa!
 
lady in action kamwe usijichukie hivi ni vitu vinavyowakuta wasichana na wavulana wengi kuingia ktk mahusiano na mtu usiemjua undani wake ni ttz tena kubwa. kinachotakiwa usahau na uendelee na mmb yako ya kuengeza kipato chako hii itakulunguzia machungu pia itakufanya ujiamin zaid baada ya kosa hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eh wewe em Acha kudanganya mabinti... Mwanaume anatulia mwenyewe akitaka...sishauri mtu apambane kumtuliza mwanaume ur not happy mpige chini over
 
Eh wewe em Acha kudanganya mabinti... Mwanaume anatulia mwenyewe akitaka...sishauri mtu apambane kumtuliza mwanaume ur not happy mpige chini over
Mwanaume yeyote yule n fala na mjinga mbele ya mwanamke hana makubwa akifika apo
 
Mimi huwa natoa kwa kuenjoy nipate utamu basi. Huwa si demand chochote in return
Hlf wanawake km nyie mnagandwa km luba na wanaume sema mnazikimbia ndoa wenyewe, hlf wale wa kuhesabu na kuvizia ndoa ni vilio daily
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…