Najaribu sign up paypal inakataa

Najaribu sign up paypal inakataa

toplemon

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2017
Posts
4,607
Reaction score
4,769
Habari wajameni
Mimi nina shida kwenye paypal nikisign up nikiweka email na pasword nikashacomfirm nikiwa hatua ya kujaza information lazima izingue tu
Ninajaza vizuri tu nikibonyeza kitufe cha Join/accept terms and condition inagoma kinakua hakibonyezeki
Au najaza taarifa vizuri nikibonyeza kwenye accept inachora mstari mwekundu kwenye kisanduku cha mwaka wa kuzaliwa
Sijui nifanyeje wakuu
Najisajili kwenye website yao kupitia opera mini
Kwa ambao mmejisajili paypal siku za karibuni plzzz njooni mnisaidie au mnipe maujanja plsss
UPDATE
Hatimaye nimefanikiwa kujisajili paypal
Postal code nimetumia 00255
Street code nimegoogle zikaja nikajaza
 
paypal inahitaji secured browsers. mi nilikua najarib kwa uc inagoma. nikabofya sehemu wameandika "can't log in" wakanilistia list za browsers zinazokubali kulog in kwa paypal ikiwemo mozilla. so jaribu kudownload mozilla utumie hyo.
 
Visa card yako unatumia ya bank gan??
 
Habari wajameni
Mimi nina shida kwenye paypal nikisign up nikiweka email na pasword nikashacomfirm nikiwa hatua ya kujaza information lazima izingue tu
Ninajaza vizuri tu nikibonyeza kitufe cha Join/accept terms and condition inagoma kinakua hakibonyezeki
Au najaza taarifa vizuri nikibonyeza kwenye accept inachora mstari mwekundu kwenye kisanduku cha mwaka wa kuzaliwa
Sijui nifanyeje wakuu
Najisajili kwenye website yao kupitia opera mini
Kwa ambao mmejisajili paypal siku za karibuni plzzz njooni mnisaidie au mnipe maujanja plsss


Jaribu browser nyingine

Niemtumia paypal kwa zaidi ya miaka 5, sijawahiona hilo tatizo.
 
Pay pay huwezi kutoa ama kuhamisha fedha kwenda account nyingine za kifedha. Unaweza kuweka na kufanya manunuzi tu. Hii ni kwa Tanzania BOT haijafanya makubaliano na PayPal mpaka sasa
 
paypal inahitaji secured browsers. mi nilikua najarib kwa uc inagoma. nikabofya sehemu wameandika "can't log in" wakanilistia list za browsers zinazokubali kulog in kwa paypal ikiwemo mozilla. so jaribu kudownload mozilla utumie hyo.
ahsante mkuu
 
Pay pay huwezi kutoa ama kuhamisha fedha kwenda account nyingine za kifedha. Unaweza kuweka na kufanya manunuzi tu. Hii ni kwa Tanzania BOT haijafanya makubaliano na PayPal mpaka sasa
ni kwel mkuu
 
Habari wajameni
Ninajaza vizuri tu nikibonyeza kitufe cha Join/accept terms and condition inagoma kinakua hakibonyezeki

Hakibonyezeki kwasababu hujamaliza kuweka information nyinginezo, hakikisha una double check taarifa zote ulizoweka kama ni sahihi

Au najaza taarifa vizuri nikibonyeza kwenye accept inachora mstari mwekundu kwenye kisanduku cha mwaka wa kuzaliwa

Hapo mwaka ulioweka siyo sahihi, au haujafuata format inayotakiwa. Huo mwaka ni mwaka wa kitu gani? Birthdate au?
 
Hakibonyezeki kwasababu hujamaliza kuweka information nyinginezo, hakikisha una double check taarifa zote ulizoweka kama ni sahihi



Hapo mwaka ulioweka siyo sahihi, au haujafuata format inayotakiwa. Huo mwaka ni mwaka wa kitu gani? Birthdate au?
Wanataka tarehe mwez na mwaka wa kuzaliwa nikiweka inachora red
 
Hakibonyezeki kwasababu hujamaliza kuweka information nyinginezo, hakikisha una double check taarifa zote ulizoweka kama ni sahihi



Hapo mwaka ulioweka siyo sahihi, au haujafuata format inayotakiwa. Huo mwaka ni mwaka wa kitu gani? Birthdate au?
ninaweka taarifa zote
 
paypal inahitaji secured browsers. mi nilikua najarib kwa uc inagoma. nikabofya sehemu wameandika "can't log in" wakanilistia list za browsers zinazokubali kulog in kwa paypal ikiwemo mozilla. so jaribu kudownload mozilla utumie hyo.

Inawezekana kabisa maana hata mie inagoma
 
Labda swali langu baada ya kujisajili hivi paypal itaanza kufanya kazi.muda gani na.pesa yao watakata muda gan???
 
Labda swali langu baada ya kujisajili hivi paypal itaanza kufanya kazi.muda gani na.pesa yao watakata muda gan???
Kama umesajili vizuri I hope walikuambia kuwa ujaze details za master card yako ya bank..........PayPal itafanya kazi kwa wewe kukatwa hela kwenye account yako ya bank kama utanunua kitu au bidhaa yeyote online kwa maana kwamba PayPal atakuwa ni mlinzi wako wa fedha zako, utakaponunua kitu online kwa maana kuwa mnunuzi asipokupa bidhaa yako basi PayPal watakurudishia hela yako!
 
Kama umesajili vizuri I hope walikuambia kuwa ujaze details za master card yako ya bank..........PayPal itafanya kazi kwa wewe kukatwa hela kwenye account yako ya bank kama utanunua kitu au bidhaa yeyote online kwa maana kwamba PayPal atakuwa ni mlinzi wako wa fedha zako, utakaponunua kitu online kwa maana kuwa mnunuzi asipokupa bidhaa yako basi PayPal watakurudishia hela yako!
thank u very much
 
Back
Top Bottom