Najaribu Kuwaza Tu

Fredwash

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2009
Posts
1,419
Reaction score
2,092
Hivi ingetokea janga hili la Coroca ndo limetokea wakat Kuna BBA.... na South wana Lockdown inamaana wale waliomo ndani si ndo ingekuwa mazima mpaka hali ikae sawa... nafikiri shindano lingesitishwa automatic na waliomo ndani wangeendelea kuishi na kuhudumiwa kama wapo makwao bila ya kuwa voted kwenye chochote... na pengine mpaka shindano liishe mimba zingeshapatikana humo ndani....

na hivi hawana access ya kujua walipo ama kinachoendelea Duniani wasingejua how serious hili janga lilivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…