Naitamani Sana hii Kauli Tarehe 3 Okt

adakiss23

JF-Expert Member
Jan 23, 2011
4,477
4,270
Ni Mrisho Khalfani Ngassssaaa anaipatia Simba bao la tatuuu.. Simba tatuuuu Yangaaaa bilaa!! Ni kazi nzuri ilifanya na haruna moshi boban hapa!! Naona wachezaji wa yanga wanashika viuno hawaamini macho yao hapa.. Wakati huo huo namuona athumani idd chuji anapiga jalamba hapa nadhani anaenda kuchukua nafasi ya huyu mbuyu twite amelowa kabisa. Na nahisi huyu mbuyu twite lazima alale na viatu na diclopar 3 leo.. Ni mtazamo 2 wadau!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ni Mrisho Khalfani Ngassssaaa anaipatia Simba bao la tatuuu.. Simba tatuuuu Yangaaaa bilaa!! Ni kazi nzuri ilifanya na haruna moshi boban hapa!! Naona wachezaji wa yanga wanashika viuno hawaamini macho yao hapa.. Wakati huo huo namuona athumani idd chuji anapiga jalamba hapa nadhani anaenda kuchukua nafasi ya huyu mbuyu twite amelowa kabisa. Na nahisi huyu mbuyu twite lazima alale na viatu na diclopar 3 leo.. Ni mtazamo 2 wadau!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums


kaka hizo ni stress tu usiogope..
 
Ni Mrisho Khalfani Ngassssaaa anaipatia Simba bao la tatuuu.. Simba tatuuuu Yangaaaa bilaa!! Ni kazi nzuri ilifanya na haruna moshi boban hapa!! Naona wachezaji wa yanga wanashika viuno hawaamini macho yao hapa.. Wakati huo huo namuona athumani idd chuji anapiga jalamba hapa nadhani anaenda kuchukua nafasi ya huyu mbuyu twite amelowa kabisa. Na nahisi huyu mbuyu twite lazima alale na viatu na diclopar 3 leo.. Ni mtazamo 2 wadau!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
nana picha wanachama wa simba wakiandamana nyumbani kwa rage kudai uwanja wao baada ya mechi ya simba na yanga!:argue:
 
hapo sina timu oteni ndoto zenu simba na yanga waje na ndoto zao.
mimi maneno kwetuuuuuuuuuuuu.
 
Ni Mrisho Khalfani Ngassssaaa anaipatia Simba bao la tatuuu.. Simba tatuuuu Yangaaaa bilaa!! Ni kazi nzuri ilifanya na haruna moshi boban hapa!! Naona wachezaji wa yanga wanashika viuno hawaamini macho yao hapa.. Wakati huo huo namuona athumani idd chuji anapiga jalamba hapa nadhani anaenda kuchukua nafasi ya huyu mbuyu twite amelowa kabisa. Na nahisi huyu mbuyu twite lazima alale na viatu na diclopar 3 leo.. Ni mtazamo 2 wadau!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

adakiss m nlifikir umeacha gongo kumbe bado unaendelea hv hujakoma 2; kutokana na nnavyomjua m2 huyu akiwa na hangover ya hi kilev huwa ana mawazo mgando sana kama mlivyoona wnyew
 
Back
Top Bottom