Kwani lazima u mwambie? Wewe mwambie baba kwasasa nataka nifanye mambo yangu na nataka nichunguze maisha yake kwanza yashije kuwa kama ya yule mzazi mwenzangu, shost una maisha yako na mtoto unaye kwanini ujipe pressure zisizokuwa na maana anayekupenda wala hanaga shida wala kona kona nyingi kila kitu huja direct, inaonekana unapenda sana ndoa sasa hao watu unao waonea aibu sijui majirani walikula sana wakati wa mahari wanakusidia nini, wakati shida unapata wewe wanawake wengine sijui mpoje, usipo jijari mwenyewe nani akusamini? Sio kila anayekuja mme wengine vipanga hata mbwamwitu huweza kuvaa ngozi ya kondoo, tumia akili chuo ulienda kufanya nini ishi maisha amani bibie!Shida ni mzee tunamwambiaje kwa hili??
Naomba nikuukize swali kabla sijakushauri ukinijibu nitakusadia na naamini utapata pakutokea.Juz nilileta Uzi wangu wa nimelikoroga ...nimeamua nifanye maamuzi magum kuna vitu kadhaa najiuliza sana
Naomba nitoe historian yangu fupi ili kidogo mjue tunaanzia wapi kulimaliza hili
Naomben watu kidogo wenye uelewa mpana na hapa naeleza ukweli wa maisha yangu acha hizo story/ nyuzi za nyuma zenye ujana ujana mwingi
Nimezaliwa 1987...
Elim yangu chuo
Nimejiajir kazi yangu inawejiweza kwa kiac kunipa mkate wa kila Sikh
Nov 2013 nilipata mchumba tulikutana kanisan akawa amenipenda na kuja kwa kasi ya ajabu maana tulionana Nov 26 lkn DEC 15 alinipeleka kwao akanivisha Pete mbele ya kanisa na January akaja nyumban kwetu kujitambulisha baaada ya WK wazazi wake wakaja kupatana mahar na kutoa siku hiyohiyo
wote tulishangaaa kasi ya jamaa lkn madai yake ni kanipenda ataki kunipoteza
Mimi nilikua naishi arusha nyumban mwanza basi baada ya mahar kabla ya kurudi kwangu nikawa nimeenda kwake ili kupajua nikawa nimepata ujauzito
Kumbe jamaa presha hizo alikua amezinguana na x wake ni mwl hapo hapo alipokua anafanyia kazi sasa akafanya kumkomoa kumbe x nae wameachana alikua tayar ana mimba so tulipishana miez 2 Mimi na xwake....
kufunga ndoa ikashindikana wazazi wake walikua watu wa dini ikabidi wasubirie nijifungue
Huku jamaa alipogundua X wake nimjamzito na walikua kijiji kimoja mapenz yakarudi upya kule
Du niliteseka sana maana alinifanyia visa vya kila rangi... Mimba ilinitesa ikabidi nije nyumban nikae nilipata mawazo hum nilifungua thread 1000 za ID tofauti ili kuomba ushauri...namshukuru mama angu alikua bega kwa bega kunifariji maana nilifikia hatua mbaya..sasa kukwepa aibu ya watu maana kwenye mahari walikula na kusherekea ikabidi tuwadanganye kua jamaa kapata matatizo kafungwa
Mpaka baba angu uwa sikai nae nimkali sana bamuogopa kama chui nae tukamdanganya hivyo mpaka leo anajua yule mchumba kafungwa
Baada ya yote nikarudi chuo nikawa na maisha yangu ya kujitegemea
Jan 2017 niakutana na huyu wa sasa tumeanzia urafiki mpana jun tukawa wapenz DEC akanipeleka kijijin kwao kunitambulisha kwao wakajua tumeshaoana maana hata kulala ilikua chumba kimoja
Feb akaja kujitambulisha kwetu baba angu akaitwa kwanza alikua amekataa kupokea posa akamwambia mama private je kamchunguza kwanza??? maana tunapisha miaka 2 tu na jamaa alafu mi namtoto jamaa hana
baba akasema je mmewe akitoka gerezan itakuaje??? Maana alimtolea mahari OK tukayabumba mzee kishingo upande akakubali posa akatushauri tuishi kwa Aman na upendo sababu wote watu wazima
Kasheshe imetokea ya kuwasiliana na huyo Dada
Jana huyo Dada kanitukana sana ananiambia Mimi kuolewa na jamaa nisali sana au niroge sana
Usiku nimeongea na jamaa nimemwambia sitaki mawasiliano na huyo Dada jamaa kanijibu hayo maisha nayimpangia nimagum mno hawez kosana na rafiki yake wametoka mbali
Watu wenye hekima naomben mnishauri nifanye nn? Baba namwambia nn? majiran kwa mwaka mwingine tena hii aibu naimalizaje??? Nimechanganyikiwa nataman nizime cm nipoteee kabisa Ila namuwaza mtoto wangu ataishi VP nakosa maamuz
Hivi hujiulizi unaitwa Anna pita, ndiyo maana unapitwa wee ni wa kupitwa tuuhahaaaa Anna pita kwenda kuolewa
Juz nilileta Uzi wangu wa nimelikoroga ...nimeamua nifanye maamuzi magum kuna vitu kadhaa najiuliza sana
Naomba nitoe historian yangu fupi ili kidogo mjue tunaanzia wapi kulimaliza hili
Naomben watu kidogo wenye uelewa mpana na hapa naeleza ukweli wa maisha yangu acha hizo story/ nyuzi za nyuma zenye ujana ujana mwingi
Nimezaliwa 1987...
Elim yangu chuo
Nimejiajir kazi yangu inawejiweza kwa kiac kunipa mkate wa kila Sikh
Nov 2013 nilipata mchumba tulikutana kanisan akawa amenipenda na kuja kwa kasi ya ajabu maana tulionana Nov 26 lkn DEC 15 alinipeleka kwao akanivisha Pete mbele ya kanisa na January akaja nyumban kwetu kujitambulisha baaada ya WK wazazi wake wakaja kupatana mahar na kutoa siku hiyohiyo
wote tulishangaaa kasi ya jamaa lkn madai yake ni kanipenda ataki kunipoteza
Mimi nilikua naishi arusha nyumban mwanza basi baada ya mahar kabla ya kurudi kwangu nikawa nimeenda kwake ili kupajua nikawa nimepata ujauzito
Kumbe jamaa presha hizo alikua amezinguana na x wake ni mwl hapo hapo alipokua anafanyia kazi sasa akafanya kumkomoa kumbe x nae wameachana alikua tayar ana mimba so tulipishana miez 2 Mimi na xwake....
kufunga ndoa ikashindikana wazazi wake walikua watu wa dini ikabidi wasubirie nijifungue
Huku jamaa alipogundua X wake nimjamzito na walikua kijiji kimoja mapenz yakarudi upya kule
Du niliteseka sana maana alinifanyia visa vya kila rangi... Mimba ilinitesa ikabidi nije nyumban nikae nilipata mawazo hum nilifungua thread 1000 za ID tofauti ili kuomba ushauri...namshukuru mama angu alikua bega kwa bega kunifariji maana nilifikia hatua mbaya..sasa kukwepa aibu ya watu maana kwenye mahari walikula na kusherekea ikabidi tuwadanganye kua jamaa kapata matatizo kafungwa
Mpaka baba angu uwa sikai nae nimkali sana bamuogopa kama chui nae tukamdanganya hivyo mpaka leo anajua yule mchumba kafungwa
Baada ya yote nikarudi chuo nikawa na maisha yangu ya kujitegemea
Jan 2017 niakutana na huyu wa sasa tumeanzia urafiki mpana jun tukawa wapenz DEC akanipeleka kijijin kwao kunitambulisha kwao wakajua tumeshaoana maana hata kulala ilikua chumba kimoja
Feb akaja kujitambulisha kwetu baba angu akaitwa kwanza alikua amekataa kupokea posa akamwambia mama private je kamchunguza kwanza??? maana tunapisha miaka 2 tu na jamaa alafu mi namtoto jamaa hana
baba akasema je mmewe akitoka gerezan itakuaje??? Maana alimtolea mahari OK tukayabumba mzee kishingo upande akakubali posa akatushauri tuishi kwa Aman na upendo sababu wote watu wazima
Kasheshe imetokea ya kuwasiliana na huyo Dada
Jana huyo Dada kanitukana sana ananiambia Mimi kuolewa na jamaa nisali sana au niroge sana
Usiku nimeongea na jamaa nimemwambia sitaki mawasiliano na huyo Dada jamaa kanijibu hayo maisha nayimpangia nimagum mno hawez kosana na rafiki yake wametoka mbali
Watu wenye hekima naomben mnishauri nifanye nn? Baba namwambia nn? majiran kwa mwaka mwingine tena hii aibu naimalizaje??? Nimechanganyikiwa nataman nizime cm nipoteee kabisa Ila namuwaza mtoto wangu ataishi VP nakosa maamuz
Kikubwa ni uvumilivu umekutana na huyu akiwa mkubwa na miaka mingi tu na anatabia zake ambazo kazizoea kwa miaka hyo yote uliyomkuta nayo kwaiyo itakugharimu miaka mingne kama hyo uliyomkutanayo ili akae sawa wote mbatoka familia tofauti na katika kila familia kuna mila,desturi na tamaduni ambazo kila mtu kalelewa nazo so vumilia tu yanamwisho hakuna sehemu iliyonyoofu.Juz nilileta Uzi wangu wa nimelikoroga ...nimeamua nifanye maamuzi magum kuna vitu kadhaa najiuliza sana
Naomba nitoe historian yangu fupi ili kidogo mjue tunaanzia wapi kulimaliza hili
Naomben watu kidogo wenye uelewa mpana na hapa naeleza ukweli wa maisha yangu acha hizo story/ nyuzi za nyuma zenye ujana ujana mwingi
Nimezaliwa 1987...
Elim yangu chuo
Nimejiajir kazi yangu inawejiweza kwa kiac kunipa mkate wa kila Sikh
Nov 2013 nilipata mchumba tulikutana kanisan akawa amenipenda na kuja kwa kasi ya ajabu maana tulionana Nov 26 lkn DEC 15 alinipeleka kwao akanivisha Pete mbele ya kanisa na January akaja nyumban kwetu kujitambulisha baaada ya WK wazazi wake wakaja kupatana mahar na kutoa siku hiyohiyo
wote tulishangaaa kasi ya jamaa lkn madai yake ni kanipenda ataki kunipoteza
Mimi nilikua naishi arusha nyumban mwanza basi baada ya mahar kabla ya kurudi kwangu nikawa nimeenda kwake ili kupajua nikawa nimepata ujauzito
Kumbe jamaa presha hizo alikua amezinguana na x wake ni mwl hapo hapo alipokua anafanyia kazi sasa akafanya kumkomoa kumbe x nae wameachana alikua tayar ana mimba so tulipishana miez 2 Mimi na xwake....
kufunga ndoa ikashindikana wazazi wake walikua watu wa dini ikabidi wasubirie nijifungue
Huku jamaa alipogundua X wake nimjamzito na walikua kijiji kimoja mapenz yakarudi upya kule
Du niliteseka sana maana alinifanyia visa vya kila rangi... Mimba ilinitesa ikabidi nije nyumban nikae nilipata mawazo hum nilifungua thread 1000 za ID tofauti ili kuomba ushauri...namshukuru mama angu alikua bega kwa bega kunifariji maana nilifikia hatua mbaya..sasa kukwepa aibu ya watu maana kwenye mahari walikula na kusherekea ikabidi tuwadanganye kua jamaa kapata matatizo kafungwa
Mpaka baba angu uwa sikai nae nimkali sana bamuogopa kama chui nae tukamdanganya hivyo mpaka leo anajua yule mchumba kafungwa
Baada ya yote nikarudi chuo nikawa na maisha yangu ya kujitegemea
Jan 2017 niakutana na huyu wa sasa tumeanzia urafiki mpana jun tukawa wapenz DEC akanipeleka kijijin kwao kunitambulisha kwao wakajua tumeshaoana maana hata kulala ilikua chumba kimoja
Feb akaja kujitambulisha kwetu baba angu akaitwa kwanza alikua amekataa kupokea posa akamwambia mama private je kamchunguza kwanza??? maana tunapisha miaka 2 tu na jamaa alafu mi namtoto jamaa hana
baba akasema je mmewe akitoka gerezan itakuaje??? Maana alimtolea mahari OK tukayabumba mzee kishingo upande akakubali posa akatushauri tuishi kwa Aman na upendo sababu wote watu wazima
Kasheshe imetokea ya kuwasiliana na huyo Dada
Jana huyo Dada kanitukana sana ananiambia Mimi kuolewa na jamaa nisali sana au niroge sana
Usiku nimeongea na jamaa nimemwambia sitaki mawasiliano na huyo Dada jamaa kanijibu hayo maisha nayimpangia nimagum mno hawez kosana na rafiki yake wametoka mbali
Watu wenye hekima naomben mnishauri nifanye nn? Baba namwambia nn? majiran kwa mwaka mwingine tena hii aibu naimalizaje??? Nimechanganyikiwa nataman nizime cm nipoteee kabisa Ila namuwaza mtoto wangu ataishi VP nakosa maamuz
Kaka anabeba mimba! Au mleta uzi ndo kajikoroga?Sasa kaka wewe unaitaji ushauri au unaitaji watu wenye busara maana ivyo ni vitu viwili tofauti em specify unaitaji kipi kati ya ivyo viwili
Huyo ni mwanaume anazingua tu humu.Kaka anabeba mimba! Au mleta uzi ndo kajikoroga?
Mumu dadangu, ninafurahi kuona umepevuka kiakili, hii inatia moyo sana.Shosti,natumaini u mzima na uko timilifu nikimaanisha una viungo vyote vimpasavyo MTU kuwa navyo,.piga moyo konde ona kama ulikengeuka tuu kibinadamu,.achana na mapenzi na kuota NDOA,tayari una mtoto PAMBANA kujiongezea kipato ili uishi maisha yako ya Amani na umtunze mwanao,.kingine KAA magotini pa Mungu omba huruma yake pengine kibinadamu ulienda kinyume na ulimkosea Mungu,Fanya toba na umtazame yeye tuu kwani yeye ni wa haki hata hutusamehe madhambi yeti,.tutafute UTAKATIFU kwanza na hayo mengine atatujazi..pole sana.